Safari ya kudai haki haijawahi kuwa rahisi:
Wenye ajira kudhani wasio na ajira ni wapuuzi hiyo si sahihi.
Kwanini rais ang'ake kusikia tishio kwenye kuendelea na urais baada ya 2025?
Kwanini Makalla asiwe tayari kuachia ngazi na kwenda kujiajiri?
Kwanini yasipunguzwe maslahi serikalini kuwafanya watu waone haja ya kujiajiri zaidi na kutoka serikalini?
Hili likiwahusu vigogo wote wakiwamo Rais, Mawaziri, wabunge nk haliwezi kusaidia kupunguza makali kwenye jamii?
Makamanda hatuna la kujifunza kutoka kwa washupavu hawa?
Haki hupiganiwa na kupiganiwa kwake kwenye tija ndiyo huku katika mazingira tuliyomo.
"Shujaa ni yule anayefia kwenye uwanja wa kivita." Asema Chinga.
Angalizo:
Mfano wa gharama za shughuli kama hizi:
Zisingeweza kutumika kwa tija zaidi?
Wenye ajira kudhani wasio na ajira ni wapuuzi hiyo si sahihi.
Kwanini rais ang'ake kusikia tishio kwenye kuendelea na urais baada ya 2025?
Kwanini Makalla asiwe tayari kuachia ngazi na kwenda kujiajiri?
Kwanini yasipunguzwe maslahi serikalini kuwafanya watu waone haja ya kujiajiri zaidi na kutoka serikalini?
Hili likiwahusu vigogo wote wakiwamo Rais, Mawaziri, wabunge nk haliwezi kusaidia kupunguza makali kwenye jamii?
Makamanda hatuna la kujifunza kutoka kwa washupavu hawa?
Haki hupiganiwa na kupiganiwa kwake kwenye tija ndiyo huku katika mazingira tuliyomo.
"Shujaa ni yule anayefia kwenye uwanja wa kivita." Asema Chinga.
Angalizo:
Mfano wa gharama za shughuli kama hizi:
Zisingeweza kutumika kwa tija zaidi?