Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria...

Huyu ka alivyokuwa Magufuli ana asili ya nchi jirani ya Rwanda, sijui kagame anatumia ujanja gani kupenyeza watu wake kwenye safu ya uongozi wa nchi hii
Ndo kama waarabu wanatumia kufanya faiza foxy kuamini Tanzania sisi wakatoliki tunachukia uislamu na mama kaja kuwakomboa .Azam anawekeza mpra tuu na buku buku maskin.ushadkia katiliki inatoa buku
 
Kumbe jerry silaa amewekwa kukamilisha hii mission ya DP world

Anaweza kujiona ameshinda kwa sasa lakini mbele ya safari mambo yatamuendea mrama pale vizazi na vizazi vitakapomlilia
 

Attachments

  • IMG_20230907_153158.jpg
    IMG_20230907_153158.jpg
    1.3 MB · Views: 4
Nikwambie Biteko, baada ya Kalemani kuonekana kizingiti kwa mafisadi pale Nishati alipelekwa Makamba Kwenda kufanikisha misheni,ikiwemo kusaini mikataba ya kipumbavu sana,kamaliza mission,kapelekwa mambo ya nje kubarizi, umekabidhiwa uozo ufe nao,wamekudanganyia kacheo kasiko ka kikatiba uvimbe kichwa,ila hapo nishati ni kaa la moto hutapaweza,ungepaweza kama mkuu wa nchi angekuwa serious na nafasi yake
 
Nikwambie Biteko, baada ya Kalemani kuonekana kizingiti kwa mafisadi pale Nishati alipelekwa Makamba Kwenda kufanikisha misheni,ikiwemo kusaini mikataba ya kipumbavu sana,kamaliza mission,kapelekwa mambo ya nje kubarizi, umekabidhiwa uozo ufe nao,wamekudanganyia kacheo kasiko ka kikatiba uvimbe kichwa,ila hapo nishati ni kaa la moto hutapaweza,ungepaweza kama mkuu wa nchi angekuwa serious na nafasi yake
Sidhani kama alizingatia ushauri wako
 
Back
Top Bottom