ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,776
- 51,614
Wasomi na Viongozi wa Tanzania wote ni walimuNasikia jamaa ni mwalimu
Wasomi na Viongozi wa Tanzania wote ni walimuNasikia jamaa ni mwalimu
Kasomea ttc chuo alichosoma mc kalab, motco, ualimu wa seco.Nasikia jamaa ni mwalimu
Malizia iyo konekisheni mkuuMtoto wa ...... zake ,,,,,, mtizame tena na
Cha kushangaza Mpwayungu Village amegoma kutambua hiloWasomi na Viongozi wa Tanzania wote ni walimu
Wengi wana cv Zenye kutisha lakiniIla na elimu yake ukisikiliza vizuri ina connection na chenga nyingi sana😂
Bahati ni bahati... 😂
Ndo kama waarabu wanatumia kufanya faiza foxy kuamini Tanzania sisi wakatoliki tunachukia uislamu na mama kaja kuwakomboa .Azam anawekeza mpra tuu na buku buku maskin.ushadkia katiliki inatoa bukuHuyu ka alivyokuwa Magufuli ana asili ya nchi jirani ya Rwanda, sijui kagame anatumia ujanja gani kupenyeza watu wake kwenye safu ya uongozi wa nchi hii
Sidhani kama alizingatia ushauri wakoNikwambie Biteko, baada ya Kalemani kuonekana kizingiti kwa mafisadi pale Nishati alipelekwa Makamba Kwenda kufanikisha misheni,ikiwemo kusaini mikataba ya kipumbavu sana,kamaliza mission,kapelekwa mambo ya nje kubarizi, umekabidhiwa uozo ufe nao,wamekudanganyia kacheo kasiko ka kikatiba uvimbe kichwa,ila hapo nishati ni kaa la moto hutapaweza,ungepaweza kama mkuu wa nchi angekuwa serious na nafasi yake