Maajabu: Simba yaingia nusu fainali kibabe Kombe la Muungano

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
16,215
24,999
MUUNGANO CUP: Nusu fainali Kombe la Muungano Mnyama Simba SC kukipiga na KVZ wakati AzamFC kumenyana na KMKM

Michezo hii kuruka mbashara kupitia #AzamSports1HD
Je, ni timu gani kutinga fainali?
#MuunganoCup #KVZSimba #AzamFCKMKM

Nb: Simba ni timu pekee duniani ....imeingia semi final bila kucheza mechi yeyote.
1713889140681.jpg
 
MUUNGANO CUP: Nusu fainali Kombe la Muungano Mnyama Simba SC kukipiga na KVZ wakati AzamFC kumenyana na KMKM

Michezo hii kuruka mbashara kupitia #AzamSports1HD

Je, ni timu gani kutinga fainali?
#MuunganoCup #KVZSimba #AzamFCKMKM

Nb: Simba ni timu pekee duniani ....imeingia semi final bila kucheza mechi yeyote View attachment 2972078
Mpira hauweki ugali mezani kwako na hata mbinguni hautufikishi labda jehanamu
 
Yanga wametumia busara na ujasiri kupinga kutumika kwa political mileage
Maana wanasiasa wao hukaa na kutoa maagizo pasi na kujua Wala kujali hisia za mashabiki au mikataba ambayo wachezaji wameingia na team zao
Simba na Yanga kwa heshima Yao wanapaswa kushiriki
1.Cafcl
2.Cafcc
3.Caf super league
4.Nbc premier league
5.Crdb FA cup
6.Ngao ya hisani
Basi hayo makombe mengine sijui muungano na mapinduzi wayakatae kabisa hayana maana Wala hadhi kwao zaidi ya wanasiasa
 
MUUNGANO CUP: Nusu fainali Kombe la Muungano Mnyama Simba SC kukipiga na KVZ wakati AzamFC kumenyana na KMKM

Michezo hii kuruka mbashara kupitia #AzamSports1HD

Je, ni timu gani kutinga fainali?
#MuunganoCup #KVZSimba #AzamFCKMKM

Nb: Simba ni timu pekee duniani ....imeingia semi final bila kucheza mechi yeyote.
View attachment 2972078
Simba wanatafutiwa kombe lolote la kuweka kabatini. Wasipokaa vizuri, KMKM itawapokonya hata hilo.
 
Kama Vile Mashabiki wa Utopolo Wanachachawa....!

Kujitoa Mjitoe Wenyewe....! Hlf mnapiga chabo mnachachawa Wenyewe ...!

Muungano hoyeeee!!
 
Yanga wametumia busara na ujasiri kupinga kutumika kwa political mileage
Maana wanasiasa wao hukaa na kutoa maagizo pasi na kujua Wala kujali hisia za mashabiki au mikataba ambayo wachezaji wameingia na team zao
Simba na Yanga kwa heshima Yao wanapaswa kushiriki
1.Cafcl
2.Cafcc
3.Caf super league
4.Nbc premier league
5.Crdb FA cup
6.Ngao ya hisani
Basi hayo makombe mengine sijui muungano na mapinduzi wayakatae kabisa hayana maana Wala hadhi kwao zaidi ya wanasiasa
Ni uzalendo mkuu
 
Ni uzalendo mkuu
Wao viongozi sio wazalendo kama wangekuwa wazalendo mashindano kama haya wangetoa kwa local teams kama zile za ndondo cup angalau team ikishinda 180 ml inaweza kujiboresha zaidi
Hizi giants ziachwe zipiganie mambo makubwa zaidi
 
Wao viongozi sio wazalendo kama wangekuwa wazalendo mashindano kama haya wangetoa kwa local teams kama zile za ndondo cup angalau team ikishinda 180 ml inaweza kujiboresha zaidi
Hizi giants ziachwe zipiganie mambo makubwa zaidi
Hazina mashabiki
 
Back
Top Bottom