Ikizu Bukama
Member
- Nov 26, 2023
- 76
- 163
Huo ndo ukweli...kila siku M7 anasema jinsi Nyerere alivyowasaidia,watu ambao kidogo washaongea na ndugu wa karibu wa Nyerere wanasema wao ni watusiInaonekana vita ya Congo ni kwa sababu ya misinformation kama hizi, matatizo mengi Africa ni ujinga kama huu