LL.B 1st class holder

Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.

UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.

First class ya mwisho UDSM ni ya Prof Hamudi Majamba, early 90's wacha hizo mkuu
 
Hebu niambie ulikosoma vipanga darasani kwenu shule ya msingi na o level walichukua course gani? Na best student huwa anatoka mchepuo gani? Hasira hazisaidii huo ndo ukweli

Best student nilikua mimi shuleni kwetu HGL, nikasoma Laws na kulikua na kombinations zifuatazo, EGM, HKL, PCM PCB,HGL nikakimbiza sasa hapo science ndio walifuata nyuma kwa point moja.
 
Nani kasema kua kozi za Arts niza kina mama?? kwa taarifa yako, mimi nilichaguliwa PCB A level , lakini nikaona science its a wastage ya time kwakweli, u end up being a gigg, why not Arts?? nikaanza na HGL i did well so wewe unayejishaua na science yako, nadhani bado naweza hata kukukimbiza na hayo masomo yako nikirudi tena kusoma science..i was the best in Physics and Biology, sasa mkuu hapo huniambii kitu..i dare you ingawa nimesoma Arts..
 
Kwa hiyo hao "1st class" ni lazima wabaki chuoni? Na hivi hiyo Faculty of Law (hivi bado inaitwa hivyo) ina walimu wangapi sasa? Maana tunaambiwa in recent memory "1st class" ni tatu tu nazo ni za Migiro, Palamagamba, na Majamba (lol). Sasa hao walimu wengine wafundishao hapo wote wana "1st class"?

Chris Peter naye alipataga "1st class"? Shivji je? Mgongo Fimbo je? Lamwai naye alikuwaga ticha hapo. Naye alipata hiyo "1st class"? Na yule Mvungi je?


sio tatu tu ila unazozijua wewe
 
Sisi tuanzo nafasi za kuajiri lakini si graduate Law toka Tumaini University au UDOM.
 
Bwana Pasco!!Hivi waweza kutupa a bit kwa nini miaka yote hiyo hakuna au hakujapatikana mtu mwenye LL.B 1st Class kama ulivyoorodhesha kuwa unawafahamu watu 3 tu!!Je tatizo liko wapi na Ulisema AAh!!Kumbe First Class yenyewe Tumaini kwani Tumaini wewe unapaonaje?Au ndio ile mentality ya Wabongo kuwa only UDSM ndio chuo?Hivi kwa quality ya Vyuo Tumaini ni sawa na UDSM tu hakuna ubishi.Kama ungesema UDOM hapo sawa maake pale ndio kunazalishwa vilaza wengi tu so ili nisiandike mengi hebu tupe sababu za kutopata watu wenye fst Class

Tumaini kuna degree za kyupi na rushwa ya pesa.
 
Hilo jina tu.

Na hivi ni kwa nini hakujawa na 1st class tokea miaka hiyo. Nini kilicho kigumu kuhusu sheria ambacho kinawafanya watu washindwe kupata hizo 1st class?

Au wanafunzi wanaochukuliwa kwa hiyo kozi ni vilaza?

After all, kusoma sheria huhitaji hata lab useme utafanya experiment.
 
After all, kusoma sheria huhitaji hata lab useme utafanya experiment.
Unaonekana una wivu sana na festi klasi za Udsm.
Pasco help hapa kwa nyie mliopita Udsm kitivo cha sheria hebu tuambie ugumu ulivyo pale kitivoni kitabu kikali haswa.

Nasikia ukipata first class ya sheria Udsm basi una uwezo wa kufaulu kiwango cha juu degree yoyote Havadi
 
Last edited by a moderator:
First class ya mwisho UDSM ni ya Prof Hamudi Majamba, early 90's wacha hizo mkuu

Bro acha uongo na uzushi hapa jamii forum watu kama nyie ndio munao haribu vijana kwa kutoa propaganda ambazo azina maana nimeenda kwenya maoonyesho ya 7 banda la udsm kitengo cha sheria ambacho kilikuwa juu nikaonana na waucka wakuu nikauza maswal mwengi moja wapo la 1 clas tangu chuo kianze nikapewa orodha ya kila mwaka hadi 2012 ucwe na shaka nitakuwekea orodha
 
Unaonekana una wivu sana na festi klasi za Udsm.
Pasco help hapa kwa nyie mliopita Udsm kitivo cha sheria hebu tuambie ugumu ulivyo pale kitivoni kitabu kikali haswa.

Nasikia ukipata first class ya sheria Udsm basi una uwezo wa kufaulu kiwango cha juu degree yoyote Havadi

Sina wivu.

Nisivyo na wivu, hata wivu wenyewe ukiniona utanionea wivu.

Hujajibu hoja, umekuja na viroja.

First off, sijaitaja UDSM. Naongelea somo la sheria dunia nzima. Kama umeona UDSM tu wigo wako mdogo kimawazo.

Sheria itakuwaje ngumu somo unasoma kwa vitabu tu? Kuhusu habari ambazo zimeandikwa na watu tu na zinazoweza kupindishwa siku yoyote na watu ambao hata hawajui sheria?

Utaniambiaje kwamba kusoma sheria ni kugumu kuliko kusoma habari za "transcending the rapture of the space-time continuum at the singularity of a black hole" kwa mfano?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom