LL.B 1st class holder

Source: Capital markets and securty law..ipo udsm peke ake! Viva Mlimani

Si kweli, mm nimesoma udsm na kuna chuo kingine wanafundishwa hii course, nilikua naenda kutumia library yao for more books
 
Umeandika kwa hasira ndo alikuwa kipanga wenu nini? Siwezi meza upuuzi ka huu kwa taarifa yako mi siwezi kusoma kozi za kina mama nimemuachia mama yeyooooo.


Kozi ya Kina Baba ndo Ipi? Huko science wamejaa mashoga kibao tunawajua? Hivi Tundu Lisu naye mama ndo unavyotaka kusema we kaka poa?
 
Kozi ya Kina Baba ndo Ipi? Huko science wamejaa mashoga kibao tunawajua? Hivi Tundu Lisu naye mama ndo unavyotaka kusema we kaka poa?

Hebu niambie ulikosoma vipanga darasani kwenu shule ya msingi na o level walichukua course gani? Na best student huwa anatoka mchepuo gani? Hasira hazisaidii huo ndo ukweli
 
Hakika wewe hunijui kabisa na huna hata chembe ya "idea" mimi ni mtu wa namna gani. Je, unaweza kuniambia kwa kinagaubaga ugumu wa kusoma sheria uko wapi?Kwa mfano, kama unajua chochote kuhusu theoretical physics utajua kwamba ni ngumu kwa sababu ni abstract. Je sheria ugumu wake uko kwenye nini?
ugumu upo hapa everything is right..there is no single answer but rather multiple answers..1+1 is not 2 in law it could even be 11, or whatsoever unike physics or science ambapo formula unayopewa ni constant inatoa majibu yenye muelekeo..sasa..unaposoma kitu ambacho kila kitu ni jibu ila what matters ni umemconvince vipi mtu inakua balaa...maana anaweza ona hujamconvince kutokana na yeye uelewa wake ulivyo...imagine unasoma course hujawahi iona hata marking scheme...paper mlizofanya i.e tests hazirudishwi so hujui wapi umeekosea...majibu ya maswali hayatolewi..tofauti na kozi zingine ambazo watu wakisolve tu past paper wanapga A za hatari lakini kitivo UDSM unaweza solve pepa na bado ikaletwa pepa..hujawahi iona hata siku moja...
 
brother umefanya vyema bila kujali umesoma chuo gani.mimi nakushauri kwanza nenda law school.Jitahidi na hapo uweke heshima for sure hutaangaika kutafuta kazi kwani makampuni makubwa watakuwa wanakubembeleza.kingine jitahidi sana pamoja na kufaulu unit za darasani ujue kucheza na logic. hiki kitu ndio nimeona wanafunzi wengi wa sheria kinawashinda kwenye uwanja wa mapambano kwani pamoja na kuwa na alama nzuri darasani lakini wanapoingia kwenye field wanashidwa kabisa kuunganisha alichokijifunza darasani na logic ambayo kwa kiasi kikubwa huwezi kufundishwa na mtu ila ni utundu ujanja wa asili au kuiga kutoka kwa watu wengine.Hapo ndio utakuta mtu kafaulu darasani lakini anakuja kushindwa kesi na mtu mwenye degree ya pass
 
hivi udsm kuna first class nyngi za economics na accounts?au na zenyewe matatzo
 
Naona watu wanazungumzia first class badala ya kazi.Mimi nikujibu tu kwamba hamna kazi JF ila kuna matangazo ya kazi, lakini pia ukumbuke first class siyo kigezo maana nina ushahidi wa mtu kushindwa interview.Nakushauri unapotafuta kazi usitafute kwa kuwa tu una First Class bali kwasababu unaweza kufanya kazi vinginevyo waajiri watakuona kama ulifaulu kwa akili za Google!
 
Pole mkuu next time uwe unaangalia na reputation au ranking ya chuo kabla hujaenda kusoma. Hata kwa bibi watu waliosoma Oxford/Cambridge/Durham wanaheshimika kuliko walio na first class za London Metropolitant.....kwahiyo reputation matters....Natumai kwa sasa umeshapata cha kufanya.
 
Dege Dege, Lissu ni school mate wangu tangu Ilboru, wakati huo akiitwa Antipas Tundu na alikuwa toto tundu kweli.

Pia ni kweli ndio alikuwa best performer wa mwaka wake lakini kuwa best performer ni kitu kimoja na kupata 1st Class ni kitu kingine. Best performer anapatikana kila mwaka hata darasa zima wakipata pass, mwenye lower second ndie best perfomer.

Tindu Lissu alipata Upper Second na GPA ya juu kabisa with honours ila sio 1st Class.

Mlisikia wapi Ist Class wa Law anaomba kazi?. 1st Class wote kwanza huwa wanakuwa retained na chuo husika. Hugombewa kupewa scholaship ya masters na ajira juu, hivyo mwenye 1st Class huunganisha shule na sio kutafuta kazi, kazi ndizo huwa zinawatafuta watu hawa!.

Umenifurahisha sana, unachoongea ni fact. first class wanam retain chuo husika, sasa first class ya huyu jamaa alifundishiwa wapi hadi chuo kisimuone???
 
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.

UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.

Bwana Pasco!!Hivi waweza kutupa a bit kwa nini miaka yote hiyo hakuna au hakujapatikana mtu mwenye LL.B 1st Class kama ulivyoorodhesha kuwa unawafahamu watu 3 tu!!Je tatizo liko wapi na Ulisema AAh!!Kumbe First Class yenyewe Tumaini kwani Tumaini wewe unapaonaje?Au ndio ile mentality ya Wabongo kuwa only UDSM ndio chuo?Hivi kwa quality ya Vyuo Tumaini ni sawa na UDSM tu hakuna ubishi.Kama ungesema UDOM hapo sawa maake pale ndio kunazalishwa vilaza wengi tu so ili nisiandike mengi hebu tupe sababu za kutopata watu wenye fst Class
 
Mchezo unaendelea......
Lakini ile St. Ya mwanza inayojitahidi kutoa maGPA ya kutosha haijaguswa kabisa.
 
mbona mnamponda baada ya kumpa support aisee msaidieni au ndio watz atupendani..mkuu nenda kwenye recruitment office au law chambers mkuu..

Sidhani kama tunamponda huyo ndugu ila wote tunamshangaa kwa kumiliki results kama hizo halafu bado anaendelea kusaka ajira hadi huku. Labda tumuulize waliomfundisha hapo Tumaini qualification zao ni zipi ili kama vipi wamchukue kwa ajili ya kuonyesha law practice anazodai anazo ili awagawie watanzania wengine,
 
Ligi inaendelea, mtoa mada yuko pembeni akitazama kwa macho ya huruma huku akijiuliza kwa nini hapewi msaada zaidi ya kumponda kwa maneno ya kejeli? Hatimaye anapata jibu kwamba hatapost chochote jf zaidi ya kupita na kusoma post za wenzake. Mjadala unaendelea....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom