Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,652
Nijuzene
1.Graphics designNijuzene
Asante1.Graphics design
2.web development
kivipi mkuu?IT bongo ni kichekesho tu...
Asikukatishe tamaa mkuu achana naekivipi mkuu?
Mkuu, Kila Kitu Kinaweza Kuwa Kichekesho Au Laa! Ni Kutokana Na Ww Mwenywe Tuu Jinsi Unavyojipanga.IT bongo ni kichekesho tu...
ok so programming java ndio inalipa?Wanakutisha mkuu, mimi nina diploma ya computer science napiga pesa kuliko daktari mwenye PHD.
Soma coding hasa Java ni tamu sanaa uanze kutengeneza android application pia usiache computer maintenance.
kulipa au kutokulipa itategemeana na maujanja yako ila kwa ufupi hizi fani za it kwa sasa kulenga solo letu LA ndani ni vigumu kutoboa kwani ishu iliyokuwa ina lipa kirahisi ni blogging lakini sasa ndo hivyo zishavamiwa na malaika waasi
Ukijifunza coding ukafungua ofsi yako bongo badala ya watu kukuletea kazi za kuwatengenezea applications watakuletea computer,printer na machine zao za photocopy zirizoharibika toka mwaka 2010 uwarekebishie
1.Graphics design
2.web development
Wanakutisha mkuu, mimi nina diploma ya computer science napiga pesa kuliko daktari mwenye PHD.
Soma coding hasa Java ni tamu sanaa uanze kutengeneza android application pia usiache computer maintenance.
dip ya computer science ipo mkuu!!Graphic design it's the best na web dev sio sana ila na pia software engineering ndo course inayolipa sana
Pia ivi kuna diploma ya computer science bcz I'm not sure??
dip ya computer science ipo mkuu!!
Post graduated OK!!!dip ya computer science ipo mkuu!!
Chochote kile kinaweza kuwa kichekesho, inategemea na unavokichukulia.IT bongo ni kichekesho tu...
Asikukatishe tamaa mkuu achana nae
mimi sio mhitimuSawa muhitimu wa IT
Kivipi mkuu?Wanakutisha mkuu, mimi nina diploma ya computer science napiga pesa kuliko daktari mwenye PHD.
Soma coding hasa Java ni tamu sanaa uanze kutengeneza android application pia usiache computer maintenance.