Lissu apunguze hasira na malipizi, atapendwa na wengi

Naomba usinilinganishe na TL, kwasababu hatufanani, kuwa president wa bar, hata mimi naweza kuja kuwa!. Kule kugombea urais mimi ni miongoni mwa tuliomchagiza!, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! na kuna vitu vingi tuu tunamsaidia Nyaraka za Muungano: Tundu Lissu kutoishukuru JF na Pasco maana yake nini?

TL is good, but not in everything, and I'm bad, but not in everything!.
He's much smarter than you & it's undisputable, having won elections that unfree & unfair , though it seems those who count the votes determine the winner more than the voters themselves, a situation very unfortunately you're a part of promoting. Nevertheless, I believe one day he will govern Tz a thing which you ll be always unease.
 
Mkuu Matrix19 , naomba nikusaidie kuhusu wanasheria/mawakili, mtu kuwa wakili sio lazima ufanye litigations!. Law has so many field, na kwa taarifa yako, mawakili wa litigations are the poorest!. Sijawahi kwenda mahakamani hata siku moja!.

NB. Kwa wakili kwenda mahakama na kushinda kesi, hakumfanyi kuwa wakili bora, na wakili kutokwenda mahakamani, hakumfanyi kuwa sio wakili bora!. Umewahi kuwasikia mawakili madada wawili, Dr. Hawa Sinare na Mwanaidi Maajar? na Law firm yao ya Epitome?. Umewahi kuwasikia wakienda mahakamani kutetea kesi yoyote ya litigations?, they are among the richest!.

Kwa umri na kwa shule, mimi nimemtangulia TL, ila kwenye uwakili amenitangulia more than 10 ahead, na he is good kwenye kazi yake ya uwakili, na mimi ni mwandishi tuu wa habari na niko good kwenye kazi yangu. Naomba tembelea hapa, Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!
uone kuna a silly mistake Chadema walifanya, angalia aliyefanya kosa hilo ni nani?.

Japo ki umri nimemtangulia TL, lakini mimi kwake ni kama sisimizi mbele yake, wala sistahili hata kufunga gidamu ya kiatu chake!.
P
Pascal hujajibu hoja za Lissu kuhusu muungano uchwara huo uliojaa makando kando.

Litigation ingekuwa among the "poorest" basi yule mgeologia Professor Mruma asingeulizwa na yule bwana kuwa "hata wanafunzi wako ndio unawafundisha hivi"? na nchi isingepeleka watetezi (mawakili)kule ICSID kuitetea juu ya uvunjaji holela wa mikataba chini ya utawala wa dikteta mhutu .

Professor alipigwa mchakamchaka hadi akasema alikuwa mchovu na safari hivyo hakupata nafasi kupitia document .

Hii ni aibu mwisho wa siku nchi imeamriwa kulipa mamilioni ya dola ambayo watakamuliwa wananchi wa chini kufidia ujinga wa kikundi cha watu wachache

Pascal ifike mahali uone aibu maana hadi sasa sijajua umetumia kigezo gani kusema litigation ina umasikini huku ukitumia sampuli ya kufirika katika kundi la watu wengi.
 
Jibu hoja current za Lissu mkuu acha kujificha kwenye kivuli cha ubwana mdogo na ubwana mkubwa.

Licha ya wewe kuwa mkubwa kuliko Lissu kwenye rekodi za uwakili hujawahi kuwakilisha hata mtu mmoja mahakamani hata kwenye kesi ya wizi wa kuku.


Kiufupi wewe kwenye rekodi ya kesi ulizoshinda ni 0 , huku Lissu ameigaragaza serikali yako ya CCM kwenye kesi kibao kuanzia zama za Mkapa kwenye kesi za wachimbaji wa madini 1997 kule Tarime aliendelea kuwagagaraza hadi enzi za Kikwete na Dikteta mhutu kutoka Chato mlipompa kesi kibao za uchochezi.

Come again Pascal.
Pascal Mayalla ...umeshindwa kujibu hiyi hoja afadhali retake it ...unavichaka vingi Sana mda mwingine frelecer journalism, mara wakili wakujitegemea mda mwingine mjumbe wa CCM Kawe...wewe kihalisi ni wewe Nani? au popoo???
 
Naomba usinilinganishe na TL, kwasababu hatufanani, kuwa president wa bar, hata mimi naweza kuja kuwa!. Kule kugombea urais mimi ni miongoni mwa tuliomchagiza!, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! na kuna vitu vingi tuu tunamsaidia Nyaraka za Muungano: Tundu Lissu kutoishukuru JF na Pasco maana yake nini?

TL is good, but not in everything, and I'm bad, but not in everything!.
You're not smart can't be president wa bar....jaribu tuone ....wewe umejaa majingambo na ujuwaji for nothing
 
We ni jinga km huyo shogako Lissu, ana hoja gani huyo mshamba anayetumiwa na wazungu kuvuruga nchi yetu.
Lissu ni taka×2 isiyo na shukrani.
Kwanza sina desturi ya kutukana, bali najibu hoja hadi hapo huna enough evidence to prove beyond reasonable doubt kwamba Lissu au mimi ni shoga maana utahitaji medical procedures tu kuthibitisha hilo.

Pia sijui ulitaka Lissu ashukuru kwa kipi hujaeleza ? Au unataka aseme muungano una mizania sawa ilhali Samia anaweza kumiliki ardhi Tanganyika ila Lissu hawezi kwenda Kizimkazi na kumiliki ardhi badala yake atakodishiwa kama mwekezaji wa kigeni.
Alipelekwa Nairobi na ndege ya Mzanzibari mh. Turky,
Hata asingepelekwa na ndege ya Mzanzibar fahamu tu angeenda nje kwa matibabu zaidi kwani baada ya wenye nia ya kumuua Dr Steven Ulimboka 2012 kufeli unafikiri aliwezaje kwenda Afrika ya Kusini akiwa mahututi kwa matibabu zaidi hatimaye kurejea akiwa amekuwa sawa kiafya?
kiongozi pekee wa serikali alienda kumtembelea hospitalini Nairobi ni mzanzibari Samia Suluhu Hassan.
Samia hakulazimishwa kwenda kumuona au unafikiri ni Samia pekeyake ndio alifika sababu alipiga naye picha je vipi walioenda na hawakupiga picha kujionyesha kuwa walienda kumjulia hali hospitali Nairobi?

Magufuli hadi anafariki hujui Samia hakuwepo na wala hakuwahi kufika kumuona hospitali kwa mujibu wa ex-CDF Mabeyo bali waliokuwepo ni DGIS, IGP na madaktari bingwa 3 wa ugonjwa wa moyo.

Hata alipofariki walimjulisha PM kabla ya Samia aliyetakiwa kuapishwa kuwa rais ndani ya saa 24??
Leo anawabagua wazanzibari, kwangu mm huyi nyumbu wenu ana laana.
Lissu hajambagua mtu ni katika kuweka hali sawa , muungano una dosari nyingi leo hii watu kuvusha bidhaa kwenda Zanzibar wanatozwa pesa ilhali ni nchi moja?


Je mbona husemi yule mbunge wa Zanzibar aliyesema watanganyika waingie Zanzibar na passport ni mbaguzi?

Kama ni nchi moja passport ya nini sasa?

Jibu hoja matusi hayawasaidii , zamani CCM kwenye midahalo kama hii utakuta wametanguliza vichwa kujibu hoja leo hii mnatangulizwa nyie wa matusi na kina Mwijaku hakuna hoja ni kusema tu mara nasimama na mama mara mama anaupiga mwingi.

Huyo mama hawezi kusimama pekeyake hadi msimame nae?

Anaupiga mwingi nini?
 
Pascal Mayalla ...umeshindwa kujibu hiyi hoja afadhali retake it ...unavichaka vingi Sana mda mwingine frelecer journalism, mara wakili wakujitegemea mda mwingine mjumbe wa CCM Kawe...wewe kihalisi ni wewe Nani? au popoo???
Huyu jamaa miaka yote tu anatutambia kuwa Lissu ni mdogo wake ila nimemwambia umri sio kitu hata kobe anazeeka.

Tukimuweka katika mizania ya taaluma ya sheria Pascal anayo mengi ya kujifunza kwa Lissu na mfano hata leo ukiuliza wangapi wanamjua Pascal kuwa ni wakili ni watu wachache sana wengi wanamjua kama mwandishi wa habari na hasa watu wa rika letu tuliyoshuhudia "kitimoto".
 
Huyu jamaa miaka yote tu anatutambia kuwa Lissu ni mdogo wake ila nimemwambia umri sio kitu hata kobe anazeeka.

Tukimuweka katika mizania ya taaluma ya sheria Pascal anayo mengi ya kujifunza kwa Lissu na mfano hata leo ukiuliza wangapi wanamjua Pascal kuwa ni wakili ni watu wachache sana wengi wanamjua kama mwandishi wa habari na hasa watu wa rika letu tuliyoshuhudia "kitimoto".
Umenena mkuu....mwanzo kabisa nilimchukulia kama non partisan... Mwisho wasiku wakimkataa kawe wajumbe...akawa na chuki na jealousy na mh Lissu...in short Pascal Mayalla is a political salvage
 
Umenena mkuu....mwanzo kabisa nilimchukulia kama non partisan... Mwisho wasiku wakimkataa kawe wajumbe...akawa na chuki na jealousy na mh Lissu...in short Pascal Mayalla is a political salvage
Duh...!, kiukweli, kuna baadhi ya watu ni baraka humu, hawanaga chuki na yeyote!, mimi ni mmoja wao, hata mtu akinitukana, beza, au kunisema vibaya, anakula like yangu!, sasa hiyo chuki ya kumchukia mtu, itoke wapi?.
P
 
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
Tundu lissu amepiga utosini
 
Duh...!, kiukweli, kuna baadhi ya watu ni baraka humu, hawanaga chuki na yeyote!, mimi ni mmoja wao, hata mtu akinitukana, beza, au kunisema vibaya, anakula like yangu!, sasa hiyo chuki ya kumchukia mtu, itoke wapi?.
P
Wewe ni conman tuu.....hivi kumpa like can testify being a good person? nadhani maneno yako ndio yanaongea jinsi umekua na chuki na jealous, hatred n.k towards mh Lissu... Usiwe na tabia za ukatili kama wa jumbe wa Kawe... Free advice samahani lakini mkuu
 
Ukimjibu chizi na wewe utaonekana chizi
Juzi karusha ka kombola kadogo tu ka muungano - CCM nzima ikachachawa.
Hamkawii kumwambia mama yenu afute mikutano ya wapinzani maana uwezo wa kuzijibu hoja ili wananchi wawaelewe hakuna. Kinana kawasaidia sana ila na yeye umri ushasogea.
 
Tatizo la Tundu anajazwa misifa ya uongo eti yeye ni jasiri!!....kisha anavimba kichwa na kujiona yeye ni jasiri nchi nzima .!! na kuanza kupwayuka ovyo ili ajionyeshe kuwa yeye ni jasiri!!!!
hawa wanao mjaza misafa ya kijinga ndio walio mpoza hadi leo akawa mlemavu.
 
Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.
Una hoja lkn kwa hili umepuyanga. Ccm iko madarakani kwasabb ya dola na "tume mtu" tu!
 
Hivi katiba ya Chadema inasemaje akifa Mwenyekiti Taifa wa Chadema Kama kwa Magufuli nani atachukua uongozi kwa utaratibu gani?
 
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
Healing is a process, Kama hujawahi pitishwa kwenye machungu kwa uonevu huwezi kuelewa. With time ata heal, give him space
 
We ni jinga km huyo shogako Lissu, ana hoja gani huyo mshamba anayetumiwa na wazungu kuvuruga nchi yetu. Lissu ni taka×2 isiyo na shukrani. Alipelekwa Nairobi na ndege ya Mzanzibari mh. Turky, kiongozi pekee wa serikali alienda kumtembelea hospitalini Nairobi ni mzanzibari Samia Suluhu Hassan. Leo anawabagua wazanzibari, kwangu mm huyi nyumbu wenu ana laana.
Haya ni maneno yasio staha hata kidogo! Modereta mnatazama tu! Angekuwa katukanwa mama kizimkazi au January! Uyu mtu angepigwa ban! Kuna double standard hapa!
Watu hawataki kuandika tena JF kwasababu ya matusi na kejeli! Mods mlitizame hili kuendelea kuvumilia wahuni sio japesi
 
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
Chadema wote ukiacha wachache kama mbowe, salum mwalimu, mnyika huwa hawana busara ni mihasira, malipizi , jazba hata sijui watakuwa viongozi wa aina gani tukiwapa nchi, hata baadhi ya mawakili wao akili zao hivyo hivyo tu
 
Chadema wote ukiacha wachache kama mbowe, salum mwalimu, mnyika huwa hawana busara ni mihasira, malipizi , jazba hata sijui watakuwa viongozi wa aina gani tukiwapa nchi, hata baadhi ya mawakili wao akili zao hivyo hivyo tu
Uvumilivu mwingine hauna faida hata kidogo.
 
Back
Top Bottom