Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,148
- 2,806
Hii topic ni distraction. Mimi nilitaka kuandika kuhusu jambo lingine.
Lakini 1964,kama TFL ilivunjwa ni kwa sababu iliunga mkono maasi ya Colito Barracks.
Lakini ni kweli anavyosema Tundu Lissu. Samia Suluhu BADO hajachaguliwa na Watanzania kuwa rais. Isipokuwa,Inshallah,anatumaini kuchaguliwa 2025.
Na kwa vile "Rais" Samia hajachaguliwa na watu,anavyouza ardhi ya Watanganyika ni kufuru.
Rais Samia ni kama Lyndon Johnson alivyokula kiapo ndani ya helicopter.
Lyndon Johnson alisubiri baadaye,alipochaguliwa,ndipo akaanza kufanya mambo yake.
Siku ile ile aliyoapishwa akaanza kuihamisha dhahabu ya Fort Knox. Malori ya US Army yakaanza kuiondoa ile dhahabu yakiongozwa na Linda Bird. (Huyu ndiye mke wake Johnson).
Halafu ipo hii Kampuni ya Blue Carbon ya Dubai( ruling family). Inanunua ardhi nyingi sana Afrika,katika nchi tano: Zimbabwe( ambako wamenunua ten percent of the country's land,na Tanzania na Cameroon,and two other countries. Hii Blue Carbon inapigiwa kelele na African Diaspora. Wanauliza kwa nini ndugu zetu wanaiuza Afrika?
Kama Joe Biden,kwa mfano,akigombea urais na kumchagua Kamala Harris kuwa mgombea mwenza,hapo Wamarekani wakimpigia kura Joe Biden itakuwa wanaiona probability( uwezekano mkubwa) wa Kamala Harris kuwa rais.
Lakini 1964,kama TFL ilivunjwa ni kwa sababu iliunga mkono maasi ya Colito Barracks.
Lakini ni kweli anavyosema Tundu Lissu. Samia Suluhu BADO hajachaguliwa na Watanzania kuwa rais. Isipokuwa,Inshallah,anatumaini kuchaguliwa 2025.
Na kwa vile "Rais" Samia hajachaguliwa na watu,anavyouza ardhi ya Watanganyika ni kufuru.
Rais Samia ni kama Lyndon Johnson alivyokula kiapo ndani ya helicopter.
Lyndon Johnson alisubiri baadaye,alipochaguliwa,ndipo akaanza kufanya mambo yake.
Siku ile ile aliyoapishwa akaanza kuihamisha dhahabu ya Fort Knox. Malori ya US Army yakaanza kuiondoa ile dhahabu yakiongozwa na Linda Bird. (Huyu ndiye mke wake Johnson).
Halafu ipo hii Kampuni ya Blue Carbon ya Dubai( ruling family). Inanunua ardhi nyingi sana Afrika,katika nchi tano: Zimbabwe( ambako wamenunua ten percent of the country's land,na Tanzania na Cameroon,and two other countries. Hii Blue Carbon inapigiwa kelele na African Diaspora. Wanauliza kwa nini ndugu zetu wanaiuza Afrika?
Kama Joe Biden,kwa mfano,akigombea urais na kumchagua Kamala Harris kuwa mgombea mwenza,hapo Wamarekani wakimpigia kura Joe Biden itakuwa wanaiona probability( uwezekano mkubwa) wa Kamala Harris kuwa rais.