Leo tuwaenzi na kuwakumbuka wazazi wetu waliotangulia mbele za haki

Mama....it is 12 years down the line since you left us. With sorrow and much pain we appreciate for the love,care and unity that you gave us as a family.
You are missed by your children and your grand children as well.
May God enlighten your way till when we shall meet in the spiritual world.
Goodbye MAMA.
πŸ˜”πŸ˜­
 
Tulimficha mama yetu khs kifo cha magufuli.sababu pia alikuwa amepata nafuu baada ya kuugua muda mfupi...lakini baada ya siku 2 mbele mama alienda zake pia.ikifika kipindi hiki nakuwa na majonzi sn.
 
Namshukuru Mungu kwa kuendelea kuwa mfariji wangu baada ya kufiwa na mama yangu.
 
Tulimficha mama yetu khs kifo cha magufuli.sababu pia alikuwa amepata nafuu baada ya kuugua muda mfupi...lakini baada ya siku 2 mbele mama alienda zake pia.ikifika kipindi hiki nakuwa na majonzi sn.
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom