Hongera kwa ulichokifanya ila wanawake wengi ni wazuri sana kinywani na kujitilisha huruma ili wapate mserereko. Nna ushuhuda wa mtu wa karibu sana, baba mtoto anawajibika sana lakini mwanamke kazi yake ni kumchafua kwa maneno kuwa hajigusi kwa chochote. Ukiwa mwepesi wa kuamini kila linalosemwa utalaani bila kujua uhalisia.
Wanawake hasa singo mazas wajifunze kuapreciate na kubariki juhudi zinazofanywa na wazazi wenzao, wakishindwa kufanya hayo yote ni bora kukaa kimya kuliko kuwachafua wakati wanatimiza majukumu yao na kuwajibika.
sawa mkuuMkuu mimi nilishagundua wanawake wote huwa ni kama akili zinafanana na nikama watoto,hivyo huwa siumizi kichwa!
Umenikumbusha juzi nilikuwa Buguruni 'Shell' nikipata chakula kwenye kile kijimgahawa. Alitokea mama mmoja anauza ndizi, hakuna aliyenunua, mama alionekana anapitia magumu. Mie japo sikuwa nahitaji ndizi, na zilionekana kuchoka, ila nilikumbuka wapi nimetoka, nikamuita yule mama na kununua ndizi zote nikamlipa elfu10 ambayo ni zaidi ya thamani ya ndizi. Mama alifurahi sana, akaniombea dua (alitamka maneno kwa kiarabu akichanganya na kiswahili) kisha akasema "Mwanangu, hujui ni kwa jinsi gani umeleta faraja kwenye nafsi yangu." Nami nikamwambia mama usijali, ni mipango ya Mungu tu.Ukimuona mwanamke yeyote barabarani anauza kitu ukinunua usidai chenji,we ujui tu chenji yako inaenda kuleta faraja gani Kwa familia yake iliyobakia nyumbani.
Pana watoto wadogo,mama mzazi mzee mgonjwa anasubiria wanasubiria huyo muuza mihogo,karanga,maji nk barabarani jioni ili jiko liwashwe.
Hayupo mwanamke anaehangaika juani asiye na mtoto tegemezi nyumbani.
usikute hujatoa hata mia unatafuta attention tu wana mna mingo sana dah 🤣🤣
Umenikumbusha juzi nilikuwa Buguruni 'Shell' nikipata chakula kwenye kile kijimgahawa. Alitokea mama mmoja anauza ndizi, hakuna aliyenunua, mama alionekana anapitia magumu. Mie japo sikuwa nahitaji ndizi, na zilionekana kuchoka, ila nilikumbuka wapi nimetoka, nikamuita yule mama na kununua ndizi zote nikamlipa elfu10 ambayo ni zaidi ya thamani ya ndizi. Mama alifurahi sana, akaniombea dua (alitamka maneno kwa kiarabu akichanganya na kiswahili) kisha akasema "Mwanangu, hujui ni kwa jinsi gani umeleta faraja kwenye nafsi yangu." Nami nikamwambia mama usijali, ni mipango ya Mungu tu.
kwani bluetick ni kitu cha kuringia...? huo umaarufu kwani jf inalipa watu...? uwe na bluetick uwe hauna nikiona we ni expert member tupo sawa tu amna lolote acha kutafuta attention kiboyaSasa attention niitafute kwako utanisaidia nini labda,kama blue tiki ninayo,wewe huna!,Kama ni umaarufu hapa JF mimi ni maarufu kukuzidi,sasa nitake Attention zinanipa pesa?
Sidhani kama una akili timamu!
kwani bluetick ni kitu cha kuringia...? huo umaarufu kwani jf inalipa watu...? uwe na bluetick uwe hauna nikiona we ni expert member tupo sawa tu amna lolote acha kutafuta attention kiboya
Hapo umesikiliza ya upande mmoja ukatoa 50k, je unayafahamu ya upande wa pili wa mwanaume...jitahidi ujue kabla ya kutoa hukumu!
🤣🤣unajua hata hapa kwetu kawe kuna sehemu inaitwa america sa uskute unaenda marekani hii ya kwetu afu unaTutambiaSidhani kama una akili timamu!
Yaani mimi nitafute Attention?,Kwahiyo nisiseme nilichokifanya huko mtaani?,Hiyo Attention tafuteni nyie malimbukeni ambao hamjui lolote zaidi ya kukesha vijiweni na kusubiri kazi za michongo!
Kwa Taarifa yako Mwenzio Mwezi wa nane huyoooooooooo! Marekani🤣
Utapigika na Jua la Bongo hadi mvi zitakuota Mattercone!😛
Aisee we jamaa, nakuelewa unachokisema, ila kuna wanawake wanawaudhi waume zao, hawana shukrani hata kidogo, maneno ya kuudhi na kuvunja moyo, mwanaume anajitahidi kumjali kwa kadiri anavyoweza, mwishowe anaambulia matusi... mwishowe anaona isiwe shida,anaamua kaka zake kimya!Mkuu achana na mambo ya upande wa pili,hapa hatupo kwenye masuala ya media,wewe ni mwanaume timiza majukumu yako!