Lema: Nikiwa na Wenje, Heche na Msigwa makamu Tundu Lisu alituhakikishia Nafasi atakayogombea Mbowe basi Yeye hatachukua fomu!

Vyama vichanga vinataka mtu makini bila hivyo vitapoteana na kuyumba kabisa

Mwalimu alikijenga chama tangu 1960 akang’atuka 1990 jumla Miaka 30 akitengezena chama .

Mbowe akigombea Tena bila kupingwa sio tatizo .
Wazungu wametumia zaidi ya miaka 100 kujenga demokrasia imara .
Marekani yenyewe pamoja na kujiita kiongozi wa demokrasia duniani udhaifu wake wa kupiga kura ni mkubwa Mpaka Leo na Hata mfumo wa mahakama za chini una madhaifu kiasi kwamba trump na republicans hawauamini .
 
Ndio wote mnavyosema mnapotaka kujifanya mko neutral. Lema ameelezea alichosikia unakimbilia kumvisha jina ambalo wengi mmekuwa mkiitwa. Sio dhambi kuwa mshabiki wa chama chechote. Muhimu ni kuwa mkweli na sio kuchochea majungu.

Amandla...
Lema aache kumpangia mtu maneno yakuongea na kumuongoza lissu nini afanye haya yanafanywa na watu wanaojipendekeza ndio maana wanaitwa machawa wewe huwezi kuona kwasababu umekunywa damu ya chama
 
Lema aache kumpangia mtu maneno yakuongea na kumuongoza lissu nini afanye haya yanafanywa na watu wanaojipendekeza ndio maana wanaitwa machawa wewe huwezi kuona kwasababu umekunywa damu ya chama
Uchawa unakufanya kipofu. Lema ameripoti tu yaliyosemwa na Lissu lakini kwa uchawa wako unaona kuwa anataka kuwa mentor wa Lissu. Kuwa mkweli tu kuwa una usongo na Chadema. Ni haki yako na hamna atakaye kulaumu au kukubeza. Ukweli utakupa uhuru.

Amandla...
 
Back
Top Bottom