Kwenye mahusiano wanaume wanapoteza zaidi kuliko wanawake

kelvinvevo

Member
Sep 12, 2021
80
312
Nimegundua mahusiano yako very risky kidogo kwa mwanaume asipokua makini.

Kwa sababu unaweza ukapata mwanamke ukampenda na kujitoa kwa kile chochote ulichokuwa nacho kwa ajili yake lakini ikitokea misunderstanding yoyote mpaka kuachana wanaume wanaambulia matusi, maneno machafu na kejeli.

kiufupi inakua loss na hela zako, muda wako na effort zako zote zinaenda bure.

Hakika wanaume tumeumbiwa mateso.
 
Mapenzi Yana upuuz mwingi Sana

1. Unatumia akili nyingi kumpata,
2. Unawekeza muda wako mwingi kwake
3. Unatumia gharama sn kumhudumia,

Ila anaweza kutumia dakika Moja kukupiga chini, tena kirahisi sana bila kuwaza mlikotoka au kujiuliza mara mbili

SAHV WANAUME TUNAISHI KIMACHALE
 
Mi mpaka dem ale hela zangu ni kwamba nimeshamtibua haswaa.

One thing hawa wanawake watu hawajui tu ni kwenda nao taratibu usijifanye mbabe / mjuaji wapo raia wanakuchora tu na wanakula bure hata tukitoa hela ni ya kawaida sanaa ila unakuta wengine wanapasuka hela kibao + kulia lia huko

Sina maana kujisifu ujinga ila mwanaume kama umeoa invest kwa mkeo ila hawa madem wengine tunawatindua kimasihara sana mwingine hataamini na wakiwa na jamaa zao ni ganzi kama hatuwajui. Basi tu siezi eleza kila kitu hapa ila wajanja wamenielewa.
 
Nimegundua mahusiano yako very risky kidogo kwa mwanaume asipokua makini.

Kwa sababu unaweza ukapata mwanamke ukampenda na kujitoa kwa kile chochote ulichokua nacho kwa ajili yake.

Lakini ikitokea misunderstanding yoyote mpaka kuachana wanaume wanaambulia matusi, maneno machafu na kejeli.

kiufupi inakua loss na hela zako, mda wako na effort zako zooote zinaenda bure.

Hakika wanaume tumeumbiwa mateso.
One man down

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kama una mwanamke
Sio mkeo official, Wala hujazaa nae
Mhudumie kwa Ela za ganji na za ziada tu

sio kujilipua
unavuruga bajeti zako,
au unaingia madeni mbalimbali
kisa kugharamia mahusiano upendwe.

Ukitumia Ela ya ziada
Ata akizingua huumii au huyumbi,
unachukulia loss kama ulikunywa bia
 
Nimegundua mahusiano yako very risky kidogo kwa mwanaume asipokua makini.

Kwa sababu unaweza ukapata mwanamke ukampenda na kujitoa kwa kile chochote ulichokua nacho kwa ajili yake.

Lakini ikitokea misunderstanding yoyote mpaka kuachana wanaume wanaambulia matusi, maneno machafu na kejeli.

kiufupi inakua loss na hela zako, mda wako na effort zako zooote zinaenda bure.

Hakika wanaume tumeumbiwa mateso.
A risk should be very calculated, take a greatest risk at a greatest profit.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom