Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 18,832
- 45,696
Mavidonge ya kufubaza UKIMWI 😅Ndio manini hayo
Mavidonge ya kufubaza UKIMWI 😅Ndio manini hayo
Tafuta wako, picha unataka ukaifanyie niniPicha tafadhali ulivyomkumbatia baby wako!
😍Soon nabadili kabila natumia lako🤸Unanipa raha sana ephen 😃😃😃 mpaka watu wanatamani JF isiwepo ili nisipate raha nazopata mimi. Upepo ukinipuliza naona jina lako likivuma katika masikio yangu.
Tumeyapokea marekebishoNawili = Nawiri
Enjoy mkuu maisha ndio haya haya.Hapa nimepandisha miguu na viatu vyake juu ya sofa
Nipe fursa nikuoneshe mambo makuu usiyoyajuaata mim mlimbwende nataka nipendwe kam uyo wako,,nipe ndugu ako bas ninenepe man nmekaa kam mshale😫😫
Tunapendana na Lucas! Nishabadili kabila mimi ni mnyiha kuanzia leoUnamuandama sana Comrade Lukasi.
Kakufanyaje?
mwambie aje mbele nmuonekuna baharia hapo nyuma anakunyemelea
Jitahidi kesho umtoe 'out' angalau apate ka waini kidogo na kiti-fire sio mbaya.yaani mapenzi ni kama aliyebebwa na kurushwa juuuuuuuu kama mtoto,
huwa unapata raha sana ukiwa katika hiyo hali, ila omba sana Mungu huyo anayekurusha akudake asikuache uanguke.
sababu kadri unavyozidi kupata raha kwenye mapenzi ndivyo utakavyoumia sana mkiachana
Mola anitunzie mamsapu wangu😍😍😍
ntanenepa kwel kwako?Nipe fursa nikuoneshe mambo makuu usiyoyajua
Nakuona unavyoturingishiawee, mie ni mke ndoa naiheshimiwe babu baridi hili na hizi mvua, ndani unavyakula, unaomba uzima uamke lakini show show yan kaz moja tu kupeana joto bila kutuma ya kutolea wala kutafta sabuni uoge janaba la bure
Ila mwamba unafaa kuwa mtunzi kabisa.Unanipa raha sana ephen 😃😃😃 mpaka watu wanatamani JF isiwepo ili nisipate raha nazopata mimi. Upepo ukinipuliza naona jina lako likivuma katika masikio yangu.
Mungu atuepushe mbaliMavidonge ya kufubaza UKIMWI 😅
Sio kunenepa tu na utang'aaa piantanenepa kwel kwako?
Ndio hivyo mkuu, hutakiwi kuwa siriazi sanaEnjoy mkuu maisha ndio haya haya.
Sisemi kama mtaachana ila nasema hayana muda hayo
Anha, mna wiki moja, shida n kuwa umeshatumia 50% ya siku zenu za furaha... Sjui itakuaje sasa🤔Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi.
Leo marafiki zake wakaribu wakamuuliza, mbona mwenzetu unanawili tu na unapendeza? Akashindwa kuwajibu.
Sasa mida hii ndio tunapiga stori, ndio ananisimulia yaliyojiri huko mtaa wa pili; nami nikwamabia, kweli unapendeza na unavutia.
Akasema tangu nimekuwa na wewe sina mawazo tena, kwa nini nisipendeze?
Hapa nilipo, nimemkumbatia yuko kifuani kwangu; ukichangia na hii mvua inayonyesha! dah wananzengo msinionee wivu; pambaneni kutafuta wa kwenu.