Kwanini watu tuna chuki na hatutakiani mema? Je kunasuluhisho?

de Gunner

JF-Expert Member
Nov 2, 2021
1,672
3,601
Katika safari yangu ya maisha, nimekutana na watu wengi, lakini ukweli sijabahatika kuina mtu mwenye roho nyeupe asilimia 💯 na mimi nikiwemo. Au angalau mtu anayeweza kumaintain ubinafsi wake na maslahi ya watu wengine. Ni kitu ambacho kila nikifikiria huwa nakosa majibu.

Wazazi wamekua wema kwangu, ila ukweli usemwe kuna mda walinifavour mimi, kwa sababu ni mimi. Hii sio kuwasemea vibaya ila hata mimi ningefanya kwa mwanangu. Sitaki kusema ni kitu kibaya ila tukija kwenye nature ya viumbe vingine ni sawa pia kiumbe kufavour uzawa wake. Basically makes sense.

Nimetolea mfano wa mzazi kwa mwanae, ila kuna scenario nyingi ambazo watu wenye uhusiano fulani au wamewatakia mabaya watu wengine wasio na uhusiano nao. Hoja yangu pia ina ambatana na chuki tuzijengazo kwa muhktadha wa kutofautiana kifikra, kiimani, kiuchumi, na mengineyo yanayofanana. Hata wazazi pia wanaweza kuwachukia watoto pia, inategemea kama mtoto hafuati yale wazazi wanaona yana mfaa. So haiwezi kubase kwenye uhusiano!🤣

Je ni sawa sisi wanadamu kuto takiana mema hasa kwa wale wasio upande wetu? Je unahisi kutokuwa na makubaliano ni kitu natural? Yaani lazima kiwepo? Na kama ni kweli, je chuki ni kitu kizuri? Wanasema bila malumbano hakuna maendeleo, je chuki pia ni kitu sahihi kwa muktadha huo?

Nakaribisha mawazo yenu.
 
Katika safari yangu ya maisha, nimekutana na watu wengi, lakini ukweli sijabahatika kuina mtu mwenye roho nyeupe asilimia 💯 na mimi nikiwemo. Au angalau mtu anayeweza kumaintain ubinafsi wake na maslahi ya watu wengine. Ni kitu ambacho kila nikifikiria huwa nakosa majibu.

Wazazi wamekua wema kwangu, ila ukweli usemwe kuna mda walinifavour mimi, kwa sababu ni mimi. Hii sio kuwasemea vibaya ila hata mimi ningefanya kwa mwanangu. Sitaki kusema ni kitu kibaya ila tukija kwenye nature ya viumbe vingine ni sawa pia kiumbe kufavour uzawa wake. Basically makes sense.

Nimetolea mfano wa mzazi kwa mwanae, ila kuna scenario nyingi ambazo watu wenye uhusiano fulani au wamewatakia mabaya watu wengine wasio na uhusiano nao. Hoja yangu pia ina ambatana na chuki tuzijengazo kwa muhktadha wa kutofautiana kifikra, kiimani, kiuchumi, na mengineyo yanayofanana. Hata wazazi pia wanaweza kuwachukia watoto pia, inategemea kama mtoto hafuati yale wazazi wanaona yana mfaa. So haiwezi kubase kwenye uhusiano!🤣

Je ni sawa sisi wanadamu kuto takiana mema hasa kwa wale wasio upande wetu? Je unahisi kutokuwa na makubaliano ni kitu natural? Yaani lazima kiwepo? Na kama ni kweli, je chuki ni kitu kizuri? Wanasema bila malumbano hakuna maendeleo, je chuki pia ni kitu sahihi kwa muktadha huo?

Nakaribisha mawazo yenu.




kutokuwa na chuki inawezekana yes is possible
 
Katika safari yangu ya maisha, nimekutana na watu wengi, lakini ukweli sijabahatika kuina mtu mwenye roho nyeupe asilimia 💯 na mimi nikiwemo. Au angalau mtu anayeweza kumaintain ubinafsi wake na maslahi ya watu wengine. Ni kitu ambacho kila nikifikiria huwa nakosa majibu.

Wazazi wamekua wema kwangu, ila ukweli usemwe kuna mda walinifavour mimi, kwa sababu ni mimi. Hii sio kuwasemea vibaya ila hata mimi ningefanya kwa mwanangu. Sitaki kusema ni kitu kibaya ila tukija kwenye nature ya viumbe vingine ni sawa pia kiumbe kufavour uzawa wake. Basically makes sense.

Nimetolea mfano wa mzazi kwa mwanae, ila kuna scenario nyingi ambazo watu wenye uhusiano fulani au wamewatakia mabaya watu wengine wasio na uhusiano nao. Hoja yangu pia ina ambatana na chuki tuzijengazo kwa muhktadha wa kutofautiana kifikra, kiimani, kiuchumi, na mengineyo yanayofanana. Hata wazazi pia wanaweza kuwachukia watoto pia, inategemea kama mtoto hafuati yale wazazi wanaona yana mfaa. So haiwezi kubase kwenye uhusiano!🤣

Je ni sawa sisi wanadamu kuto takiana mema hasa kwa wale wasio upande wetu? Je unahisi kutokuwa na makubaliano ni kitu natural? Yaani lazima kiwepo? Na kama ni kweli, je chuki ni kitu kizuri? Wanasema bila malumbano hakuna maendeleo, je chuki pia ni kitu sahihi kwa muktadha huo?

Nakaribisha mawazo yenu.
Show off ndio chanzo kingine Cha haya yote.

Watu wengi sana hawawezi kuyafanya maisha yao yawe private.. Chochote watakachofanya, jamaii lazima ijue.

Asili ya mwanadamu ni ubinafsi. Na ubinafsi uzalisha chuki. Ila ukweli ni kwamba, watu hawawezi kuattack jambo wasilolijua. Hawawezi kukuwekea Chuki ikiwa hawayajui mambo yako. Nadhani tujifunze kufanya mambo kimya kimya.
 
Katika safari yangu ya maisha, nimekutana na watu wengi, lakini ukweli sijabahatika kuina mtu mwenye roho nyeupe asilimia 💯 na mimi nikiwemo. Au angalau mtu anayeweza kumaintain ubinafsi wake na maslahi ya watu wengine. Ni kitu ambacho kila nikifikiria huwa nakosa majibu.

Wazazi wamekua wema kwangu, ila ukweli usemwe kuna mda walinifavour mimi, kwa sababu ni mimi. Hii sio kuwasemea vibaya ila hata mimi ningefanya kwa mwanangu. Sitaki kusema ni kitu kibaya ila tukija kwenye nature ya viumbe vingine ni sawa pia kiumbe kufavour uzawa wake. Basically makes sense.

Nimetolea mfano wa mzazi kwa mwanae, ila kuna scenario nyingi ambazo watu wenye uhusiano fulani au wamewatakia mabaya watu wengine wasio na uhusiano nao. Hoja yangu pia ina ambatana na chuki tuzijengazo kwa muhktadha wa kutofautiana kifikra, kiimani, kiuchumi, na mengineyo yanayofanana. Hata wazazi pia wanaweza kuwachukia watoto pia, inategemea kama mtoto hafuati yale wazazi wanaona yana mfaa. So haiwezi kubase kwenye uhusiano!🤣

Je ni sawa sisi wanadamu kuto takiana mema hasa kwa wale wasio upande wetu? Je unahisi kutokuwa na makubaliano ni kitu natural? Yaani lazima kiwepo? Na kama ni kweli, je chuki ni kitu kizuri? Wanasema bila malumbano hakuna maendeleo, je chuki pia ni kitu sahihi kwa muktadha huo?

Nakaribisha mawazo yenu.
Sio Binadamu wote mkuu, hili lipo zaidi kwa WATU WEUSI na ndio maana hawafanikiwi bila ujanja ujanja na wizi

Kwa Watu weupe kuna nafuu kubwa sana tu

Watu weusi hawatakiani na wanaweza kuuana kirahisi penye maslahi
 
Sio Binadamu wote mkuu, hili lipo zaidi kwa WATU WEUSI na ndio maana hawafanikiwi bila ujanja ujanja na wizi

Kwa Watu weupe kuna nafuu kubwa sana tu

Watu weusi hawatakiani na wanaweza kuuana kirahisi penye maslahi
Naungana nawe kuhusu hilo wazungu kidogo wana unafuu, ila sisi maafrika 🤣🤣! Ni very ignorant embu anzisha uzi kuhusu dini uone!
 
Katika safari yangu ya maisha, nimekutana na watu wengi, lakini ukweli sijabahatika kuina mtu mwenye roho nyeupe asilimia 💯 na mimi nikiwemo. Au angalau mtu anayeweza kumaintain ubinafsi wake na maslahi ya watu wengine. Ni kitu ambacho kila nikifikiria huwa nakosa majibu.

Wazazi wamekua wema kwangu, ila ukweli usemwe kuna mda walinifavour mimi, kwa sababu ni mimi. Hii sio kuwasemea vibaya ila hata mimi ningefanya kwa mwanangu. Sitaki kusema ni kitu kibaya ila tukija kwenye nature ya viumbe vingine ni sawa pia kiumbe kufavour uzawa wake. Basically makes sense.

Nimetolea mfano wa mzazi kwa mwanae, ila kuna scenario nyingi ambazo watu wenye uhusiano fulani au wamewatakia mabaya watu wengine wasio na uhusiano nao. Hoja yangu pia ina ambatana na chuki tuzijengazo kwa muhktadha wa kutofautiana kifikra, kiimani, kiuchumi, na mengineyo yanayofanana. Hata wazazi pia wanaweza kuwachukia watoto pia, inategemea kama mtoto hafuati yale wazazi wanaona yana mfaa. So haiwezi kubase kwenye uhusiano!🤣

Je ni sawa sisi wanadamu kuto takiana mema hasa kwa wale wasio upande wetu? Je unahisi kutokuwa na makubaliano ni kitu natural? Yaani lazima kiwepo? Na kama ni kweli, je chuki ni kitu kizuri? Wanasema bila malumbano hakuna maendeleo, je chuki pia ni kitu sahihi kwa muktadha huo?

Nakaribisha mawazo yenu.
its inevitable ni asili ya dhambi ya mwanadamu, kwenye law ya umeme tuna iita resistance pale voltage inaposukuma current
 
Show off ndio chanzo kingine Cha haya yote.

Watu wengi sana hawawezi kuyafanya maisha yao yawe private.. Chochote watakachofanya, jamaii lazima ijue.

Asili ya mwanadamu ni ubinafsi. Na ubinafsi uzalisha chuki. Ila ukweli ni kwamba, watu hawawezi kuattack jambo wasilolijua. Hawawezi kukuwekea Chuki ikiwa hawayajui mambo yako. Nadhani tujifunze kufanya mambo kimya kimya.
Hoja yako inamashiko, ila huoni ni 2 way streak hiyo. Ufanye jambo kimya au by show of mwisho wa siku litaonekana na chuki itabaki palepale! Mimi nahisi ubinafsi ni kitu sahihi maana kinampa mtu maana ya uwepo wake, not in a negative way kama kubrag(kujionesha). Ila chuki inakuja kwa opposite end! Yeye ndo mwenye shida.

Mimi nahisi kuna some sense of lack kwa watu wengi ndo maana wanachukia. Unaonaje hapo?
 
Pole.....
Ni kweli watu wengi wana roho nyeusi hata wale usiowategemea.
Usitegemee mema kutoka kwa watu, jitengenezee hayo mema.
Asante
Mimi mwenyewe huwa napatwa na chuki, hua ni automatically inakuja. Ila baada ya miaka mingi na kukua kiakili ndo nikaanza kua mwangalifu wa hisia na mawazo yangu. Na bado hii ni safari sijakamilika na fall short sometimes. Ni kweli kabisa binadamu sio kiumbe cha kuaminiwa.
 
Ni nature na ilianzia mbinguni pale shetani alipotamani nafasi ya Mungu (Wivu)

Kila mtu anataka kua juu ya mwingine kiasi kwamba hata tajiri anataka yeye awe nazo aombwe kila siku na maskini

Lakini maskini akipata unafuu tajiri anakunja.
Ni nature kumbe?
Kwaiyo ni sawa kuwa na wivu ambayo inaundwa na chuki?
Na hakuna haja ya kuhofia kuwa na chuki?
 
How, maana ni kama natural thing hivi kwa mtazamo wangu lakin! Naomba ufafanuzi wako mkuu..


Chuki inatokana na scarcity mindset

Na hiyo scarcity mindset inatokana na. Ego

Ego ni ubinafsi na ubinafsi unaleta self identify

Mfano chuki inakuwa hivi unatamani kitu alichonacho MTU ukipate wewe na yeye asikipate

Sasa hii inatokana na scarcity mindset akili yako inakuwa haina utoshelevu .


So ukimuona MTU ana chuki unabidi kujua hilo ni tatizo la kisaikolojia tu ambalo linatokana na kuwa na Low emotional intelligence , na EGO.

Resentment (CHUKI) ni inferiority complex

So MTU mwenye chuki anabidi kufata huo mchakato

Kuondoa scarcity mindset na kuwa na Abundance mindset

Anabidi kuondoa EGO na kuhakikisha anaamini Good things is not for chosen ones but for everybody.
 
Ni nature kumbe?
Kwaiyo ni sawa kuwa na wivu ambayo inaundwa na chuki?
Na hakuna haja ya kuhofia kuwa na chuki?
Upande wangu,
Najitahidi kuepuka chuki, wivu, husda kuwafanyia wengine lakini mtu akinifanyia ni sawa na wala sijali

Tujitahidi watoto wetu wawe na hofu ya Mungu ili kuepuka wao kua na tabia hizi ambazo asili yaje ni Shetani
 
Hali ya chuki na wivu na hatari sana Kwa maisha ya watu wanaokuzunguka,hii inaenda kimya kimya na huwezi kujuwa kama hili jambo linafika mbali,lakini katika stage za ukuaji wa akili ni lazima Kuna hatua utapitia hiyo ili ujifunze,na usipojifunza ndio unajikuta huwezi kusamehe watu wengine kama ulivyokuwa mtoto mdogo.
 
Upande wangu,
Najitahidi kuepuka chuki, wivu, husda kuwafanyia wengine lakini mtu akinifanyia ni sawa na wala sijali

Tujitahidi watoto wetu wawe na hofu ya Mungu ili kuepuka wao kua na tabia hizi ambazo asili yaje ni Shetani


Wanawake, kwa asilimia kubwa ndo husumbuliwa na na haya matatizo

Resentiment (CHUKI)
Jealousy (Wivu)
Pride (Kujisifu au majivuno)
Arrogance (kiburi,dharau)
Attention


Hii hutokana na kuwa wanawake hutumia right brain ambayo ipo emotionally Sana.

Hivyo tatizo la wanawake kutopendana linatokana na Kutokuwa na emotional intelligence.

Ili mwanamke aishi vizuri inahitaji kuwa na emotional intelligence kubwa kulinganisha na mwanaume.

Ukikaa vizuri ukatazama wanawake kuna mambo ambayo unaweza kuona hawa sio complete a human being

So chuki, wivu ,husda ili kuondoa inahitaji uwe na Emotional intelligence kwanza.
 
Back
Top Bottom