Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,283
- 4,890
Ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi sio watu kukubali pale mtu anavyofanikiwa kimaisha lazima mtu azushiwe jambo lolote ataitwa mchawi, tapeli, anafanya biashara haramu ukisamehewa kidogo utaambia unasaidiwa na familia ili ionekane uwezo wako ni mdogo kwamba hauna tofauti na wao watanzania wengi huwa hawataki kuamini kwamba Kuna watu wapambanaji