dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,670
- 16,357
Nilikuwa nasoma uzi wa Furtunatus Boyombe kuhusu idadi kubwa ya wahamiaji haramu ambao wako serikalini kwa idadi kubwa wote Wana akili kubwa kubwa mno
Mfano wengi unaawakuta wako BOT
UDSM
SUA
IFM
TRA
UHAMIAJI
WAJUMBE WA BODI
TARURA
TAKUKURU
JWTZ
Kwa kifupi Ni hivi, wote hakuna hata mwalimu wa secondary wote ni ma senior kwemy taasisi nyeti ya nchi hii
Leo amejadili mtu anaitwa prof Shem Martin ndabikunze
Seti kamanzi
Prof Shem Martin aliwahi kuwa mhadhiri wa SUA na Kisha kuteuliwa kushika nafsi nyeti sana na baadae nchi ya Rwanda ikamteuwa kuwa mkuu mkugenzi mkuu wa bodi ya kilimo ya Rwanda.
Kwa kifupi wengi walioko nchini kinyemela Ni wanyarwanda
Embu sogelea telegram yake ukajione tunavyofundishwa na wanyarwanda
Mfano wengi unaawakuta wako BOT
UDSM
SUA
IFM
TRA
UHAMIAJI
WAJUMBE WA BODI
TARURA
TAKUKURU
JWTZ
Kwa kifupi Ni hivi, wote hakuna hata mwalimu wa secondary wote ni ma senior kwemy taasisi nyeti ya nchi hii
Leo amejadili mtu anaitwa prof Shem Martin ndabikunze
Seti kamanzi
Prof Shem Martin aliwahi kuwa mhadhiri wa SUA na Kisha kuteuliwa kushika nafsi nyeti sana na baadae nchi ya Rwanda ikamteuwa kuwa mkuu mkugenzi mkuu wa bodi ya kilimo ya Rwanda.
Kwa kifupi wengi walioko nchini kinyemela Ni wanyarwanda
Embu sogelea telegram yake ukajione tunavyofundishwa na wanyarwanda