Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 14,284
- 30,855
Hatuna matunda yetu ya asili yote yaliletwa na kina vasco da gama. Labda nduleleKatika matunda ya asili ya Afrika ni matikiti tu ndiyo yanalimwa sana. Mengine yameachwa maporini na yanazidi kupotea. Kwa nini Afrika hatulimi matunda yetu ya asili? Ni matunda gani ya asili yanapatikana kwenu na ungependa kuona yanalimwa?
View attachment 2979094