Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,498
- 2,032
Nanukuu:No, umeelewa vibaya!!
Nataka nijue ulinzi nilionao Kwa faida ya vizazi vijavyo,
Maana wengine hudhani jambo hili ni Bahati mbaya,
Na wapo wengi wanaodhani Nchi hii ni mchezo mchezo,
Nia ni kuinua UZALENDO, watu waipende, wailinde na kuithamini Nchi Yao.
Nia ni njema ndugu!!
"Nia ni kuinua UZALENDO, watu waipende, wailinde na kuithamini Nchi Yao.
Nia ni njema ndugu!!"
Nia zingine bhana; a'a' zinaweza kuleta za kuleta.