Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,445
- 13,133
Inadaiwa kuwa barabara za zege ni imara na zinadumu kwa muda mrefu kuliko za lami. Japo wanasema ni gharama kujenga lakini nchi kama yetu inaweza kuzijenga kwa kutumia malighafi zote kutoka ndani ukilinganisha na zile za lami.
Kwa hiyo inawezekana kwetu zikawa na bei rahisi kuliko za lami. Barabara za zege unaweza kujenga kwa nondo au hata bila nondo. Hizi zingetufaa sana kwenye barabara za mitaa kwenye miji yetu. Hata kampuni ndogo ndogo za ujenzi zingeweza kufanya ujenzi huu.
Kwa nini tusiachane na barabara za lami na kuanza kujenga za zege tu?
Kwa hiyo inawezekana kwetu zikawa na bei rahisi kuliko za lami. Barabara za zege unaweza kujenga kwa nondo au hata bila nondo. Hizi zingetufaa sana kwenye barabara za mitaa kwenye miji yetu. Hata kampuni ndogo ndogo za ujenzi zingeweza kufanya ujenzi huu.
Kwa nini tusiachane na barabara za lami na kuanza kujenga za zege tu?