Haya mambo yameanza tena kurudi hapa Africa hivi sababu ni kitu gani ? Mbona huko majuu hatuyasikii au kuyaona yakitokea ?
Mbona huku East Africa hayapo?Haya mambo yameanza tena kurudi hapa Africa hivi sababu ni kitu gani ? Mbona huko majuu hatuyasikii au kuyaona yakitokea ?
DRC, Burundi, Sauth Sudan je 😳Mbona huku East Africa hayapo?
Bro nikusema umelaaniwa au we ni mzunguSababu ni kwamba
Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele.
Waafrika, Hawawezi kujiongoza na hawatakaa waweze kujiongoza na kujitawala wenyewe, wame laanika.
Uafrika ni laana.
Hatuko huru,Haya mambo yameanza tena kurudi hapa Africa hivi sababu ni kitu gani ? Mbona huko majuu hatuyasikii au kuyaona yakitokea ?
Kwa maana ipi mkuuTatzo kubwa ni kushindwa tenganisha Siasa na Serikali ktk uendeshaji wa nchi
kwa sababu ya wizi,uzandiki,ukandamizaji,kurithisha watoto vyeo na akili za viongozi wengi kwa sasa hazijavaa suruale kwa kukaza,bali zimevaa mlegezo kama maniga wa USA!!!.......................!!!!Haya mambo yameanza tena kurudi hapa Afrika hivi sababu ni kitu gani? Mbona huko majuu hatuyasikii au kuyaona yakitokea?
Hapo nimekuelewa Vizuri sanaNi matokeo ya siasa za kidunia, hazina sababu za msingi za wananchi wa kawaida wa Afrika.
Mapinduzi haya, yanaratibiwa na mataifa yenye nguvu kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia.
Sio mapinduzi yanaratibiwa na kusukumwa na uhitaji wa ndani ya Afrika.
Kinachoendelea kwenye wimbi hili la sasa ni regime change na sio philosophical reforms. Falsafa inabaki ile ile, watu serikalini ndio wanaobadilika.
Mfano: Kitendo cha Marekani kulipua bomba la Urusi kutoka Urusi- Ulaya (Nord-stream) ndio sababu Kuu ya Mapinduzi ya Gabon. Usiniulize kwa namna gani, chekecha kichwa utapa jawabu.
Kwasasa, Hakuna mapinduzi yatakayo ratibiwa na wananchi wa kawaida (Afrika) wenyewe yatakayofanikiwa bila kuhusisha maslahi ya mataifa yaliyoendelea kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia.
Kwasasa wamiliki wa uchumi, jeshi na teknolojia wa ulimwengu wameshagawana vitalu vya kuvuna kama ilivyokuwa kipindi cha ukoloni mkongwe.
Hivyo, sio rahisi kwa wananchi wa kawaida kuanzisha na kufanikiwa kufanya mapinduzi.