mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Wadau,
Hapa kumekuwepo na mada chungu nzima,zikilalamikia michango ya harusi isiyokoma.Miongoni mwa watu ambao wamekuwa hawapendezwi na uwepo wa miichango mingi Ni Mimi mwenyewe.Lakini baada ya kutafakari kwa makini,nimegundua,wale wenye kuoa au kuolewa wanahitaji michango mingi zaidi na kuungwa mkono kwa sababu zifuatazo➗
1.Sababu ya kuwa Ni vema kuchangia mtoto wa Fulani aende shule,siyo hoja kwani unapozaa lazima iwe Una uhakika wa kutunza na kusomesha.
2.Katika maisha ya binadamu Kuna sherehe,au matukio matatu muhimu,ambayo Ni kuzaliwa,kuoa au kuolewa na kufa.Kati ya matukio hayo Ni tukio moja Tu ambalo Ni ndoa,ambapo mtu anakuwa anajitambua.
3.Ndoa Ni kiashiria cha kujenga familia mpya na uumbaji.Hivyo kuwaunga mkono wahusika kufikia azima hiyo Ni muhimu.
4.Siyo vibaya kumsaidia mtu kufikia ndoto zake na furaha yake.
Nk nk
Hapa kumekuwepo na mada chungu nzima,zikilalamikia michango ya harusi isiyokoma.Miongoni mwa watu ambao wamekuwa hawapendezwi na uwepo wa miichango mingi Ni Mimi mwenyewe.Lakini baada ya kutafakari kwa makini,nimegundua,wale wenye kuoa au kuolewa wanahitaji michango mingi zaidi na kuungwa mkono kwa sababu zifuatazo➗
1.Sababu ya kuwa Ni vema kuchangia mtoto wa Fulani aende shule,siyo hoja kwani unapozaa lazima iwe Una uhakika wa kutunza na kusomesha.
2.Katika maisha ya binadamu Kuna sherehe,au matukio matatu muhimu,ambayo Ni kuzaliwa,kuoa au kuolewa na kufa.Kati ya matukio hayo Ni tukio moja Tu ambalo Ni ndoa,ambapo mtu anakuwa anajitambua.
3.Ndoa Ni kiashiria cha kujenga familia mpya na uumbaji.Hivyo kuwaunga mkono wahusika kufikia azima hiyo Ni muhimu.
4.Siyo vibaya kumsaidia mtu kufikia ndoto zake na furaha yake.
Nk nk