Kwanini Imani/dini zimejengwa katika misingi ya Ahadi na Vitisho..?

WeedLiquorz

JF-Expert Member
May 30, 2022
3,686
6,240
Salaam, zingatia swali hapo juu.

Ati jamani yani kwanini?
Kwanini mpaka tuhaidiwe au tutishiwe ndo tuamini, kwahiyo tunafanya kwa kuogopa au kwa kushawishiwa?

Mfano: Utaambiwa kuna kuchomwa moto, kuna raha na starehe.

Ebu naombeni ufafanuzi kwa vyovyote unavyoelewa wewe au hata usivyoelewa na wewe tuchanganyikiwe wote.
 
Ukisoma biblia na quran kwa kutumia akili ya kuzaliwa utagundua dini hizi magumashi tupu. Kuna ujinga na uongo wa wazi wazi mwingi sana.

Mfano Biblia inakuambia eva aliongea na nyoka kuhusu tunda la bustan ya edeni

Huku Quran inakuambia mtume muhammad alipaa na punda mwenye mabawa kwenda mbinguni kwa ajili ya ku negotiate na mungu idadi ya swala ziwe 5 tu kwa siku.

Imagine nyoka anaongea na huku punda anapaaa zaidi ya njiwa na mungu una negotiate nae apunguze idadi ya swala kutoka 50 mpaka zinakuwa swala 5 kwa siku
 
Salaam, zingatia swali hapo juu.

Ati jamani yani kwanini?
Kwanini mpaka tuhaidiwe au tutishiwe ndo tuamini, kwahiyo tunafanya kwa kuogopa au kwa kushawishiwa?

Mfano: Utaambiwa kuna kuchomwa moto, kuna raha na starehe.

Ebu naombeni ufafanuzi kwa vyovyote unavyoelewa wewe au hata usivyoelewa na wewe tuchanganyikiwe wote.

Hivi mtu akikuambia tunaenda safari ya kutembea kutwa nzima hivyo uhakikishe umebeba chakula, maji na uwe na vifaa vya kujikinga na mvua la sivyo uwe tayari kushinda njaa na pengine kunyeshewa na Mvua.
Hapo amekutishia au amekueleza utakayokutana nayo huko kwenye safari kama utampuuza?
 
😢😢
 

Attachments

  • FB_IMG_17121240075705051.jpg
    FB_IMG_17121240075705051.jpg
    254.8 KB · Views: 4
Ukisoma biblia na quran kwa kutumia akili ya kuzaliwa utagundua dini hizi magumashi tupu. Kuna ujinga na uongo wa wazi wazi mwingi sana.

Mfano Biblia inakuambia eva aliongea na nyoka kuhusu tunda la bustan ya edeni

Huku Quran inakuambia mtume muhammad alipaa na punda mwenye mabawa kwenda mbinguni kwa ajili ya ku negotiate na mungu idadi ya swala ziwe 5 tu kwa siku.

Imagine nyoka anaongea na huku punda anapaaa zaidi ya njiwa na mungu una negotiate nae idadi ya swala kutoka 50 mpaka zinakuwa 5 kwa siku
Kuna ujinga mwingi sana.
 
Hakuna logic kwa kweli,eti mtu mmoja mqurayshi kaenda zake kujificha mapangoni ale msuba,kala msuba weee umemkolea anaanza kudai sijui katokewa na nani eti
Watunga dini ni Extra ordinary kwenye viwango vya akili, binafs huwa nawakubali sana watu wanaopiga pesa za wajinga kwa mlango wa dini mfano Mwamposa.
 
Hivi mtu akikuambia tunaenda safari ya kutembea kutwa nzima hivyo uhakikishe umebeba chakula, maji na uwe na vifaa vya kujikinga na mvua la sivyo uwe tayari kushinda njaa na pengine kunyeshewa na Mvua.
Hapo amekutishia au amekueleza utakayokutana nayo huko kwenye safari yako kama utampuuza?
Lazima atoe hoja yakinifu kwanini tusafiri ikiwa kuna vikwazo vingi namna hiyo. Tusiposafiri kuna madhara gani?
 
Back
Top Bottom