Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,445
- 25,729
Aaaanha okay, ila kama ni hivyo kwenye mjadala wa familia ya Nuhu kuna mkanganyiko sana aiseeeNdio angalia kuna familia ni baraka vizazi na vizazi na nyingine ni laana mwanzo mwisho
Aaaanha okay, ila kama ni hivyo kwenye mjadala wa familia ya Nuhu kuna mkanganyiko sana aiseeeNdio angalia kuna familia ni baraka vizazi na vizazi na nyingine ni laana mwanzo mwisho
Mkubwa sana actually zile habari huwa ni pasua kichwa sanaAaaanha okay, ila kama ni hivyo kwenye mjadala wa familia ya Nuhu kuna mkanganyiko sana aiseee
kwakweli "" nimeshangaa mnoo"Hahahahahaha asee ingekuwa uswahilini kwetu huku ujiji ama kigogo sambusa lazima wangemgawana vipande
daahhh acha tu "" hapo kwenye " laana na baraqa " nimtihani mnoo"" na kumbuka nilipokuwaga mdogo " kuna familia ya mzee mmoja hivi kwa sasa ni marehemu "" karibia familia ya Watoto wake wote na wajukuu walikuwa ni majambazi na wezi "" kasoro Watoto wake wa kike tu "" yaani sijui alimkoseaga nini Mungu yule mzee ""familia yake ilikuwa inaogopeka mnooo"" na kumbuka mzee wangu aliwahi kunikataza hata kujenga urafiki na wajukuu wa familia ileNdio angalia kuna familia ni baraka vizazi na vizazi na nyingine ni laana mwanzo mwisho
Aliye ona uchi ni Ham baba wa canaaninadharia zote zimejikita kwenye chanzo kimoja cha imani yaani bibilia.
nilitegemea mkuu utuwekee vyanzo vya talmud au maandiko mengine ya kiyahudi ambayo hayapo kwenye bibilia,quran(umesema hakuna chanzo), Jashar, Enoch, na vya historia nyingine zinazozungumzia sakata hilo. nasema kwa sababu stori uliyoitoa umeitoa kuktoka katka mwanzo 9, na Sababu ya laana imeandikwa hapohapo. ungetoa na vyanzo vingine mtambuka vyenye sababu hizo nyingine ili msawazo wa mada usiegemee kwwnye bibilia tu.
ili litoe sura ya kwamba nadharia zako zote zina biblical support.
Mchango.
Binafsi kwa msingi wa chanzo bibilia, naamini alilaaniwa kwa sababu ya kuona uchi wa baba yake. na ndivyo ilivyoandikwa na kuelezwa humo. kwa mtiririko wa matukio ya bibilia, sio ajabu mtu na dada yake au ndugu yake kufanya mapenzi mara tu baada ya Uumbaji na Gharika ili kuendeleza vizazi na kuijaza nchi. hivyo sioni sababu ya kulinganisha laana za kipindi cha walawi ambacho tayari watu walikuwa wameshakuwa wengi tuiseme itumike kuhukumu watu wa kizazi cha nuhu au adam.
Ikiwa hoja zote zitajengwe kwenye bibilia fact ni moja tu. Ham alilaaniw kwa kuangalia uchi wa baba yake.
maoni mkuu.
Aliye ona uchi ni Ham baba wa canaaniKwa nini alilaaniwa Canaan ambaye hakujua kosa na si aliyemchungulia?
Hii inahitimishaHivi inakuwaje kosa afanye mtu mwingine then adhabu apewe mwingine? hii imekaaje? Sometimes Bible huwa siielewi yani
Nami nawabariki maelfu elfu wanipendao na kulitukuza jina langu....Aliye ona uchi ni Ham baba wa canaani
5 mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Kutoka 20 :5
sasa mkuu kosa panzi aadhibiwe panya ww kwa akili yako unafikir ni sawa?Nami nawabariki maelfu elfu wanipendao na kulitukuza jina langu....
Kwa akili nadhani unatambua wazi kabisa kuwa panzi hawezi kuwa panyasasa mkuu kosa panzi aadhibiwe panya ww kwa akili yako unafikir ni sawa?
Kwa akili yako wanaolaniwa kwa makosa ya wazazi wao ww unafikir ni sawa?Hii inahitimisha
5 mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Kutoka 20 :5
sasa inakuaje kosa afanye mwingine aadhibiwe mwengine ambaye ata kuzaliwa akuzaliwaKwa akili nadhani unatambua wazi kabisa kuwa panzi hawezi kuwa panya
Panya na panzi ni generation mbili tofauti.... Labda tuzungumzie generation mojaKa
sasa inakuaje kosa afanye mwingine aadhibiwe mwengine ambaye ata kuzaliwa akuzaliwa
panya na panzi nimetumia kama matendo uhalifu X aje aadhibiwe Y ww mkuu unaona ni sawa? hapo tu nataka maoni yako mkuuPanya na panzi ni generation mbili tofauti.... Labda tuzungumzie generation moja
Hapana hapa umechanyanga mambo.. Angalia msingi wa mada hebu soma tena kwa makinipanya na panzi nimetumia kama matendo uhalifu X aje aadhibiwe Y ww mkuu unaona ni sawa? hapo tu nataka maoni yako mkuu
Asante mkuu kwa Tag!.hearly impongo Mchawi Mkuu Malcom Lumumba Elungata Da'Vinci Mshana Jr Palantir Eiyer Kudo900 Vi rendra N J subi Bujibuji Kipanga boy Kiranga Ziroseventytwo Che mittoga Ip man 3 mitale na midimu Mzee wa Torano Blaki Womani Grahnman za chembe jimmykb197 911sep11 afsa Khalifavinnie popbwinyo Son of Gamba Pendael24 Kennedy na wanajukwaa wote karibuni kwa michango
Msingi wa mada nimeuelewa sana ila kuna kitu hapo kuhusu laana ya vizazi kwa vizazi mlijaribu kuzungumzia kama sehemu ya utetezi sasa ndio nataka maoni yako kuhusu hili jambo kutoa laana kwa vizazi ambavyo avijashiriki kwenye uovu uoni sio jambo jema maana mnawanyima fursa ya kutubu ni ilo mkuuHapana hapa umechanyanga mambo.. Angalia msingi wa mada hebu soma tena kwa makini
Mkuu lawama na laani ni vitu tofauti sana. Waziri hawezi kuua mtu huko Iringa then Magufuli ndo akamatwe Mmmh!! hapana.Haahahaaa ngoja wataalam waje majibu tutapata hapahapa.... Ila kwa mtazamo wangu hizo nadharia hapo juu zinaweza kuchangia ila kwa hatua nyingine mtu anaweza laani asiyehusika sababu ANAANGALIA CHANZO mfano Nyoka alimdanganya hawa ndio maana laana akapewa Nyoka pia ingawa kosa alifanya HAWA na hata sasa inawezekana Kosa akafanya waziri wa Tanzania alafu lawama ikaenda kwa MAGUFULI kwa sababu hiyo hiyo
Ngoja wataalam waje CC: SALA NA KAZI Che mittoga Online Pastor