katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,719
Hello Jf ,
I hope nyie ni wazima mie mzima pia .
Due to circumstances fulani ikiwemo watoto na familia kwa ujumla kuwalisha,kuwatafutia vitu vingi mie nimeamua kutoka humu.
Mie sintokuwa humu sana sana. Ila jf ziliingia notifications nyingi kwenye simu nikasema ngoja nione nini.
Nawatoto nafamilia siwezi kuwa busy huku nafuatilia umbeya na matusi . Umri unasonga na mtu majukumu yanazidi.
Happy new year and more to comes
I hope nyie ni wazima mie mzima pia .
Due to circumstances fulani ikiwemo watoto na familia kwa ujumla kuwalisha,kuwatafutia vitu vingi mie nimeamua kutoka humu.
Mie sintokuwa humu sana sana. Ila jf ziliingia notifications nyingi kwenye simu nikasema ngoja nione nini.
Nawatoto nafamilia siwezi kuwa busy huku nafuatilia umbeya na matusi . Umri unasonga na mtu majukumu yanazidi.
Happy new year and more to comes