Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,244
- 4,776
Kwa utendaji huu uliotukukuka wa Rais Samia huenda 2026 bunge litakosa Wapinzani labda wapewe upendeleo maalumu
Wadau hamjamboni nyote
Huo ndiyo ukweli na lazima usemwe kuwa Rais Samia amefanya mambo mema na makubwa ambayo yamewashangaza mamilioni ya watanzania na raia wengi wa Afrika na duniani kote.
Sina ulazima kuweka ushahidi kwani naamini kila kitu kipo wazi
Nashauri ufanyike upendeleo maalumu kwa wenzetu hao kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 vinginevyo msije shangaa bunge la 2026 likakosa Wapinzani kabisa
Viva Rais Samia
Viva CCM
Viva Tanzania
Wadau hamjamboni nyote
Huo ndiyo ukweli na lazima usemwe kuwa Rais Samia amefanya mambo mema na makubwa ambayo yamewashangaza mamilioni ya watanzania na raia wengi wa Afrika na duniani kote.
Sina ulazima kuweka ushahidi kwani naamini kila kitu kipo wazi
Nashauri ufanyike upendeleo maalumu kwa wenzetu hao kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 vinginevyo msije shangaa bunge la 2026 likakosa Wapinzani kabisa
Viva Rais Samia
Viva CCM
Viva Tanzania