Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,690
- 3,146
Salam wakuu, nina dogo langu alikuwa anataka kurudi chuo mwakani na ufaulu wake wa o level ni huu apa
Biology- C
Mathematics- C
Chemistry- D
Physics- D
English -C
Division 2 ya pointi 21 amehitimu mwaka 2019. Je kwa ufaulu huu anaweza kuchaguliwa apo MUHAS mwakani.
Natanguliza shukurani
Biology- C
Mathematics- C
Chemistry- D
Physics- D
English -C
Division 2 ya pointi 21 amehitimu mwaka 2019. Je kwa ufaulu huu anaweza kuchaguliwa apo MUHAS mwakani.
Natanguliza shukurani