Kwa style ya viongozi wa namna hii, nchi yetu itaendelea kukaa gizani

May 4, 2024
89
188
FEED THEM WITH FEAR, THEN EAT THEM.!

Unajitahidi sana usizungumzie maswala ya siasa na imani za watu lakini unasikia viongozi wako wawakilishi wanaongea utopolo kabisa.

Unajitahidi usiingilie maswala ya imani na dini za watu, mara unasikia viongozi wa dini wenyewe wanaruhusu mapenzi ya jinsia moja ambayo yamekatazwa kwenye vitabu vyao vya Imani. Kumbe ni PROPAGANDA.!

Unajitahidi usiingilie masuala ya siasa na vyama vya watu maana hauko vizuri kwenye intelijensia, sheria na maswala ya haki, huku na huko unasikia kuna kiongozi mmoja Standard 7 failure matako yanalia mbwata baada ya kujipata kumbe nyuma yake anasimamiwa na PROPAGANDA.

Propagandist wa hii nchi siku hizi wamekuja na hii slogan waliotumia Wamisionari kuwateka mababu zetu kipindi cha ukoloni kwa kuwatishia na moto wa milele, adhabu ya viboko na hukumu ya mwisho wa Dunia na uongo, uongo mwingine mwingi.

Mtu unapigwa na tamko la kukutia woga na ukijaa tu, Umekwisha.!

Propagandist wameanza kuteka watu kwa visa mbalimbali ikiwemo ile ya yule bodaboda muuza madafu kuwa Usalama wa Taifa, sasa naona wanakuja kwenye elimu baada ya kuwashindwa waTanzania kwenye Afya.

Sasa kuna hilo tamko la mzee Petro Getere, Mbunge wa Bunda Vijijini, baada ya kushiba zake posho za kutosha kwa kodi za wakulima matako yamemlia mbwata.

Wafuatiliaji wa mambo ya siasa wanajua kuwa Mbunge Tanzania analipwa
1: Mshahara + Posho: M18 kwa mwezi
2: Posho ya kujikimu : 120,000 kwa siku
3: Posho ya Kikao: 220,000 kwa siku
4: Mkopo wa Gari: M90 kwa miaka 5
5: Kiinua mgongo: M272 kwa miaka 5
6: Bima ya Afya kwa Familia bure
7: Posho za semina na Vikao vya kamati..
8: Mfuko wa jimbo na Passport bure na mengine mengi yasiyo rasmi.

Sasa unakaa unajiuliza....
Hawa wazee wanaokuja na kauli za kuonea wivu boom la milioni 2 kwa mwaka la mkopo kwa mtoto wa mkulima mmoja wana akili kweli.!?

Hela ambayo baada ya matumizi itarudishwa, maana inatolewa kwa mkopo sio Bure, mzee mwenye milioni 270+ baada ya miaka mitano tu ya utumishi yeye inamuuma nini.!?

Anasema anayajua maisha ya chuo na wakati hajasoma.!? Au elimu yake inayoonekana kwenye CV ya ubunge ambayo ni Darasa la Saba ni uongo.!?

Mwisho wa siku unagundua wazee tulionao ni "Wazee wa Hovyo" wanaoongozwa na Propaganda tu. Nchi ya wajinga.!

Alafu kuna wasomi kadhaa wapo mjengoni pale Dodoma wanagonga meza kwa kauli ya kupumbavu kabisa kutoka kwa wazee wa namna hii, Hovyo kabisa.!

Pia soma Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea

FB_IMG_17151931526525046.jpg
 
Kwanini tusiwaondoe kabisa wanafunzi tutakuwa tumekata mzizi wa fitina (hakuna mtu atalewa tena)
 
Maana yako tuki ondoa wanafunzi, SI ndo kufuta mfumo mzima wa elimu??.
Sasa SI ndo tuta zidi kufuga taifa la hovyo.
Ni the same thinking kama ya jamaa alivyosema (Kama Boom ambalo ndio linatumika kama chakula na kwa mwanafunzi kupata basic needs linaweza kutumika vibaya) na objective ni ili wasilewe basi tukiwaondoa hata kulewa hawatalewa...

Ni muendelezo wa watu kuwa na fikra za mafungu (not looking at the complete picture)
 
Ni the same thinking kama ya jamaa alivyosema (Kama Boom ambalo ndio linatumika kama chakula na kwa mwanafunzi kupata basic needs linaweza kutumika vibaya) na objective ni ili wasiliwe basi tukiwaondoa hata kulewa hawatalewa...

Ni muendelezo wa watu kuwa na fikra za mafungu (not looking at the complete picture)
mkuu tuna uhakika gani Kama hai vijana Wana lewa huko??.
je hatuoni ita waathiri wasio lewa?
 
Mshahara wa mbunge ni mil 18

Posho ya kikao kimoja ni laki sita

Kiinua mgongo sasahivi kitasoma kuanzia mil 300.

So , MTU aliyepo kwenye shibe na akakosa hekima anaweza kujisahau na kunena upumbavu.
 
mkuu tuna uhakika gani Kama hai vijana Wana lewa huko??.
je hatuoni ita waathiri wasio lewa?
Haujanielewa ninaonyesha thinking yake ni kama mtu aseme tuondoe visu vyote sababu kuna watu wanachoma wenzao visu, tunasahau kwamba visu pia vinatumika kukatia nyanya na vitunguu....
 
Mshahara wa mbunge ni mil 18

Posho ya kikao kimoja ni laki sita

Kiinua mgongo sasahivi kitasoma kuanzia mil 300.

So , MTU aliyepo kwenye shibe na akakosa hekima anaweza kujisahau na kunena upumbavu.
Tena Kama huyo nae ana jiona kaongea point kubwa.
ana sahau Kuna vijana familia zao hazina uwezo wa kuwa somesha.
 
Haujanielewa ninaonyesha thinking yake ni kama mtu aseme tuondoe visu vyote sababu kuna watu wanachoma wenzao visu, tunasahau kwamba vitu pia vinatumika kukatia nyanya na vitunguu....
Huyo mbunge mpumbavu hana hekima akili ndogo
 
Haujanielewa ninaonyesha thinking yake ni kama mtu aseme tuondoe visu vyote sababu kuna watu wanachoma wenzao visu, tunasahau kwamba vitu pia vinatumika kukatia nyanya na vitunguu....
hapo nime kuelewa, huyo ange kuwa mtaani kwangu ni wa kumu elimisha kwa bakora.
 
FEED THEM WITH FEAR, THEN EAT THEM.!

Unajitahidi sana usizungumzie maswala ya siasa na imani za watu lakini unasikia viongozi wako wawakilishi wanaongea utopolo kabisa.

Unajitahidi usiingilie maswala ya imani na dini za watu, mara unasikia viongozi wa dini wenyewe wanaruhusu mapenzi ya jinsia moja ambayo yamekatazwa kwenye vitabu vyao vya Imani. Kumbe ni PROPAGANDA.!

Unajitahidi usiingilie masuala ya siasa na vyama vya watu maana hauko vizuri kwenye intelijensia, sheria na maswala ya haki, huku na huko unasikia kuna kiongozi mmoja Standard 7 failure matako yanalia mbwata baada ya kujipata kumbe nyuma yake anasimamiwa na PROPAGANDA.

Propagandist wa hii nchi siku hizi wamekuja na hii slogan waliotumia Wamisionari kuwateka mababu zetu kipindi cha ukoloni kwa kuwatishia na moto wa milele, adhabu ya viboko na hukumu ya mwisho wa Dunia na uongo, uongo mwingine mwingi.

Mtu unapigwa na tamko la kukutia woga na ukijaa tu, Umekwisha.!

Propagandist wameanza kuteka watu kwa visa mbalimbali ikiwemo ile ya yule bodaboda muuza madafu kuwa Usalama wa Taifa, sasa naona wanakuja kwenye elimu baada ya kuwashindwa waTanzania kwenye Afya.

Sasa kuna hilo tamko la mzee Petro Getere, Mbunge wa Bunda Vijijini, baada ya kushiba zake posho za kutosha kwa kodi za wakulima matako yamemlia mbwata.

Wafuatiliaji wa mambo ya siasa wanajua kuwa Mbunge Tanzania analipwa
1: Mshahara + Posho: M18 kwa mwezi
2: Posho ya kujikimu : 120,000 kwa siku
3: Posho ya Kikao: 220,000 kwa siku
4: Mkopo wa Gari: M90 kwa miaka 5
5: Kiinua mgongo: M272 kwa miaka 5
6: Bima ya Afya kwa Familia bure
7: Posho za semina na Vikao vya kamati..
8: Mfuko wa jimbo na Passport bure na mengine mengi yasiyo rasmi.

Sasa unakaa unajiuliza....
Hawa wazee wanaokuja na kauli za kuonea wivu boom la milioni 2 kwa mwaka la mkopo kwa mtoto wa mkulima mmoja wana akili kweli.!?

Hela ambayo baada ya matumizi itarudishwa, maana inatolewa kwa mkopo sio Bure, mzee mwenye milioni 270+ baada ya miaka mitano tu ya utumishi yeye inamuuma nini.!?

Anasema anayajua maisha ya chuo na wakati hajasoma.!? Au elimu yake inayoonekana kwenye CV ya ubunge ambayo ni Darasa la Saba ni uongo.!?

Mwisho wa siku unagundua wazee tulionao ni "Wazee wa Hovyo" wanaoongozwa na Propaganda tu. Nchi ya wajinga.!

Alafu kuna wasomi kadhaa wapo mjengoni pale Dodoma wanagonga meza kwa kauli ya kupumbavu kabisa kutoka kwa wazee wa namna hii, Hovyo kabisa.!

Pia soma Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea

View attachment 2984903
Ikiwa una ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya masuala mbalimbali ya kijamii, kisiasa au kiuchumi, na halafu hekima na busara vikiambatana nawe katika uelewa na ufahamu wako, bas....
kamwe huwezi kupata muhemko au ghadabu dhidi ya mtu mwingine alie na mawazo, maoni au mtazamo tofaut na wako dhidi ya mambo mbalimbali 🐒

vinginevyo itakua ni standby panic mode 🐒
 
Ikiwa una ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya masuala mbalimbali ya kijamii, kisiasa au kiuchumi, na halafu hekima na busara vikiambatana nawe katika uelewa na ufahamu wako, bas....
kamwe huwezi kupata muhemko au ghadabu dhidi ya mtu mwingine alie na mawazo, maoni au mtazamo tofaut na wako dhidi ya mambo mbalimbali 🐒

vinginevyo itakua ni standby panic mode 🐒
Ume soma Andiko kwanza??, au ume angalia kichwa cha habari tu.?
 
Back
Top Bottom