Ndugu wanabaraza,
Kumekuwa na michango mbali mbali kuhusiana na hili suala la katiba ya Tanzania ya Mwaka 1984 kuwa na mapungufu makubwa. Kulingana hayo na ukiangalia watanzania toka uhuru hawajawahi kutengeneza katiba yao. Napenda kuwakaribisha katika mtiririko huu wa mawazo(thread) hili tuweze kuchanganua katiba yetu ni kwa nini haifai na vigezo vipi vinatufanya tuione haifai. Katika kuichambua naomba tutumie mifano hai na si hadithi za kufikirika. Mwisho kama tutaweza kupata hitimisho la nini kifanyike baada ya huu mchanganue.
Kumbuka katiba ndio sheria mama ya nchi yetu. Sheria zote zinatakiwa kuahakisi sheria hii mama( kind of mirror image reflection).
Karibuni.
Kumekuwa na michango mbali mbali kuhusiana na hili suala la katiba ya Tanzania ya Mwaka 1984 kuwa na mapungufu makubwa. Kulingana hayo na ukiangalia watanzania toka uhuru hawajawahi kutengeneza katiba yao. Napenda kuwakaribisha katika mtiririko huu wa mawazo(thread) hili tuweze kuchanganua katiba yetu ni kwa nini haifai na vigezo vipi vinatufanya tuione haifai. Katika kuichambua naomba tutumie mifano hai na si hadithi za kufikirika. Mwisho kama tutaweza kupata hitimisho la nini kifanyike baada ya huu mchanganue.
Kumbuka katiba ndio sheria mama ya nchi yetu. Sheria zote zinatakiwa kuahakisi sheria hii mama( kind of mirror image reflection).
Karibuni.