Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,008
- 8,145
Mwenyewe nimeshangaa, mana ndani ya hio week kama sharp anakuwa kasoma mchezo wote, kiasi anaweza kucopy chap akakulaza na viatu 😂😂 jamaa anataka kuiba idea kirahisi sanaamh kuna watu ni wajinga na kwa ujinga wao kutoka inakua ngumu.....
yaani uje na ki 5m chako kwenye biashara yangu iliyosimama nikuelekeze tufanye wote alafu tugawane faida 🤣🤣🤣🤣🤣 haya tunaitaga mawazo chupi achilia mbali kuhusu faida ya 1m kwa wiki ambayo hutaipata na tunapima uwezo wa mtu kwenye mawazo yake.....
nikushauri tu tafuta bhange uuze na uvute itakusaidia maishani
Halafu kama naweza tengeneza 1M kwa week siwez kuwa na shida ya mtaji wa 5M,