GOD my watcher
JF-Expert Member
- Oct 9, 2019
- 299
- 269
4 milion parefu sanaLaki tano ukinunu internet ya zuku miezi miwili unapata unlimited tena speed 40mbpssema ndio hivo location itakucost
4 milion parefu sanaLaki tano ukinunu internet ya zuku miezi miwili unapata unlimited tena speed 40mbpssema ndio hivo location itakucost
Sana hiyo 4million sio affordable kabisa4 milion parefu sana
Muvi unaeka bei juu cannnaa,, wakat muv mtaan wanaeka kwa jeloo,, ww unaeka buku halaf ndo unauza kwa jumlaNi series gani au Movie gani unaipenda sana kwa sasa? Hebu niambieni watazamaji Movie nahitaji kujua vitu mnavyopenda ili kama sina nivitafute.
Mtaani kwenu wanaweka kwa "jeloo" sawa mkuuu mimi kwangu Movie nauza kwa resolution na si tu bora nimekuwekea movie.Muvi unaeka bei juu cannnaa,, wakat muv mtaan wanaeka kwa jeloo,, ww unaeka buku halaf ndo unauza kwa jumla
Karibu sana Mkuu, wakati wote ukiwa tayari milango i wazi tufanye kazi kwa viwango vinavyostahili.Mkuu nitakutafuta Aisee
Ni kweli sio kila biashara kila mtu anaiweza, ndio maana biashara zipo kwa makundiSana hiyo 4million sio affordable kabisa
Ukishajua gharama ya bando la kushusha hizi movie kila mwezi nalipa Sh ngapi, utaona kumbe 4M ni upendeleo wa hali ya juu kama Mungu alivyotupa mwanae wa pekee afe kwa ajili yetu.4 milion parefu sana
Hiyo ya simba na zari unayo.ni kweli sio kila biashara kila mtu anaiweza,ndio mana biashara zipo kwa makundi
Mi nina movie store mkuu ninajua nilivyoanzani kweli sio kila biashara kila mtu anaiweza,ndio mana biashara zipo kwa makundi
kwa siku unaweza kunja ngapi mfano. na ugumu wake je.Mi nina movie store mkuu ninajua nilivyoanza
Kawaida tu 20k 30k unapata ila kama location nzuri au siku business nzuri 100k au 90kkwa siku unaweza kunja ngapi mfano. na ugumu wake je.
sawa mkuuMi nina movie store mkuu ninajua nilivyoanza
Duuuh boss naomba kujua changamoto zkeUkishapata eneo fungua biashara yako mkuu,mengine ushauri tutaulizana na kushauriana ukiwa kazini kwako.
hiyo una istream Netflix kwasasa,bado haipo tayari kwa kudownloadhyo ya simba na zari unayo.
Changamoto kubwa Pekeee ambayo ukiingia lazima uifahamu ni kwamba,Unaweza kununua HARD DISK ya TB 10 kwa 800k halafu ukaijaza Mzigo ikajaa Full ukawa unapga kazi.Duuuh boss naomba kujua changamoto zke
Karibu PM mkubwa wangu,ukija PM kama Mkubwa ntapunguza SI unajua Ukubwa DAWA naheshimu wakubwa zangu. Karibu Kaka Mkubwa Hakiharibiki kitu.Dogo tutaftane, ila Punguza hizo Gharama.
mimi na ona hz inabidi uchague zenye ubora kama vile transender mi ndo naikubali. Na pia sishauri mtu awe na 10TB kwa wakati mmoja bora awe na vipande kama vya 4TB.Mkushi w jani
Baada ya kuhangaika kurudisha zile TB 10 movie umeanza kazi tena inakufia HARD DISK ingine ya 12TB wiki hiyo hiyo au Mwezi Huo Huo.
Ki ufupi unaweza hisi umelogwa au una mikosi kama hauna channel nyingine ya kukuingizia Kipato MOVIE STORE za storage kubwa kama hizi zinaweza kukufilisi usipojipanga kikamilifu.