TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 3,416
- 5,767
MABENKI YETU TZ JAPO YAPO REGULATED LAKIN NAZAN KUNA WIZI UNAENDELEA HASA KWENYE MIKOPO
Katika hali ya kawaid nmeihash familia mkoa x kwend mkoa B na huko tayari nilikuw kwenye hatua za awali san katika ujenzi nikaona kulko kulpa pango la Tshs 150,000 hadi Tshs 200, 000 nkasema ngoja nikasake makato hayo ata kwa miaka 20 had 10 ili nmalze ujenzi katika hatua ya kawaid familia ikae hapo.
Nikafika katika zile bank 2 kongwe zaid Tanzania nipatekujua kuhusu mortage loan. Bank moja wakanipa mchanganuo.
Haya ndio maajabu baada ya kukate na officer loan. Nkapewa dondoo kuwa interest yao ni 16% ila kwa kiwango cha makato ya 200,000 naweza kupata Ths13,500000/- ikiwa makato yao kwa mwez ni Tshs 204,694.55 kwa miez 240 (miaka 20) ikiwa nitalpa jumla ya Tshs 49,126,692/-
Hapa ndio maajabu kabisa nikayaona baada ya kumwambia je kwaa miaka 10 nawez pata Tshs ngapi kwa range makato hayo.
Akajibu utapata Tshs 11,400,000/- ikiwa kwa miez 120 (miaka 10) Nitalpa Tshs 24,625,795.2
NB: Kwa wale tulio soma hesabu tutakuwa tumeelew vyema ila acha niendelee na ufafanuzi.
Mkopo wa miaka 20 na miaka 10 utofaut wa kiasi unachopewa ni Tshs 2,100,000/- utofauti wa makato kwa mwezi tshs520.41 Utofaut wa muda ni wa makato ni Mara 2 ya muda lakini pia utofaut wa jumla ya maripo ni mara mbili ya mkopo wa miaka 20 / ukichukua kwa miaka 20 utali Tshs 24,000,000+ sasa kwa akili yangu naona hizi bank sasa ni wez sana hawan ushawishi wa kibiashara.
(HIZO NI TAARFA RASMI JAPO SIWEZ ITAJA HYO BANK NITAENDELEA NA HILI KATK BANK ZNGNE)
Akili yangu ikaenda mbali zaidi nikaona Tz yetu sisi wanyonge wengi wanaumizwa ili wachache huko juu wao wanaish vizuri.
Bila D TATU ZA FORM 4 UNAWEZ USIELEW HII HOJA IMEKAA KIHISABATI ZAID
Katika hali ya kawaid nmeihash familia mkoa x kwend mkoa B na huko tayari nilikuw kwenye hatua za awali san katika ujenzi nikaona kulko kulpa pango la Tshs 150,000 hadi Tshs 200, 000 nkasema ngoja nikasake makato hayo ata kwa miaka 20 had 10 ili nmalze ujenzi katika hatua ya kawaid familia ikae hapo.
Nikafika katika zile bank 2 kongwe zaid Tanzania nipatekujua kuhusu mortage loan. Bank moja wakanipa mchanganuo.
Haya ndio maajabu baada ya kukate na officer loan. Nkapewa dondoo kuwa interest yao ni 16% ila kwa kiwango cha makato ya 200,000 naweza kupata Ths13,500000/- ikiwa makato yao kwa mwez ni Tshs 204,694.55 kwa miez 240 (miaka 20) ikiwa nitalpa jumla ya Tshs 49,126,692/-
Hapa ndio maajabu kabisa nikayaona baada ya kumwambia je kwaa miaka 10 nawez pata Tshs ngapi kwa range makato hayo.
Akajibu utapata Tshs 11,400,000/- ikiwa kwa miez 120 (miaka 10) Nitalpa Tshs 24,625,795.2
NB: Kwa wale tulio soma hesabu tutakuwa tumeelew vyema ila acha niendelee na ufafanuzi.
Mkopo wa miaka 20 na miaka 10 utofaut wa kiasi unachopewa ni Tshs 2,100,000/- utofauti wa makato kwa mwezi tshs520.41 Utofaut wa muda ni wa makato ni Mara 2 ya muda lakini pia utofaut wa jumla ya maripo ni mara mbili ya mkopo wa miaka 20 / ukichukua kwa miaka 20 utali Tshs 24,000,000+ sasa kwa akili yangu naona hizi bank sasa ni wez sana hawan ushawishi wa kibiashara.
(HIZO NI TAARFA RASMI JAPO SIWEZ ITAJA HYO BANK NITAENDELEA NA HILI KATK BANK ZNGNE)
Akili yangu ikaenda mbali zaidi nikaona Tz yetu sisi wanyonge wengi wanaumizwa ili wachache huko juu wao wanaish vizuri.
Bila D TATU ZA FORM 4 UNAWEZ USIELEW HII HOJA IMEKAA KIHISABATI ZAID