Kutojua kuongea na kuandika vizuri kiingereza itamkwe kama Ulemavu.

Matongee

JF-Expert Member
Jun 17, 2023
600
1,454
Haiwezekani kama nchi maskini tuendelee kubembelezana kuijua vizuri hii lugha muhimu ya kibiashara duniani. Kama tunatakiwa kufanya export zaidi ya products na services zetu hatuwezi kukwepa kukifahamu vizuri kiingereza. Hii ni lugha kuu ya biashara duniani. HAINA MJADALA.

Kuna wapuuzi wana hoja mfu kudai mbona China ina maendeleo huku wanatumia lugha yao? Hawa ni wapumbavu wanaostahili kuchapwa viboko. Wachina wamefika hapo walipofika kwa kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi yao. Nyuma ya mafanikio ya wachina kuna machozi, jasho na damu. Mao Ze Dong peke yake aliwapelekea moto wachina wenzake waache uzembe na kupiga kazi. Hata viongozi wengine waliofuatia walikuwa sio poa wakikufuma kwenye ishu za kishenzi kama ufisadi na mambo kama hayo. Hiyo imesababisha wachina wamekuwa wazalishaji wakubwa wa bidhaa duniani huku pia wao pekee wakiwa na soko kubwa la ndani. Sisi kujifananisha na mchina ni upuuzi. Kuna wale wanasemaga kwamba mwaka 1961 tulikuwa sawa na China kimaendeleo huwa nashangaa sana.

Kama hujui kiingereza jitahidi ujue. Kuna app ya duolingo ni rahisi kuitumia ukajua lugha. Mimi kwa sasa kiingereza nimeshamalizana nacho najifunza kifaransa. Mimi ni mtu ninayeongea kiingereza fasaha na kukiandika.
 
Utumwa haujawahi kumuisha Mwafrika. Huwezi kuujaza ubongo kila kitu, kama unakihitaji kiingereza kwenye shughuli zako jifunze. Kama sikihitaji why should give a https://jamii.app/JFUserGuide?!!

Kiingereza kimemsaidia nini Lionel Messi? Kiingereza kimekwamisha vipi shughuli zake?
 
Wew
Haiwezekani kama nchi maskini tuendelee kubembelezana kuijua vizuri hii lugha muhimu ya kibiashara duniani. Kama tunatakiwa kufanya export zaidi ya products na services zetu hatuwezi kukwepa kukifahamu vizuri kiingereza. Hii ni lugha kuu ya biashara duniani. HAINA MJADALA.

Kuna wapuuzi wana hoja mfu kudai mbona China ina maendeleo huku wanatumia lugha yao? Hawa ni wapumbavu wanaostahili kuchapwa viboko. Wachina wamefika hapo walipofika kwa kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi yao. Nyuma ya mafanikio ya wachina kuna machozi, jasho na damu. Mao Ze Dong peke yake aliwapelekea moto wachina wenzake waache uzembe na kupiga kazi. Hata viongozi wengine waliofuatia walikuwa sio poa wakikufuma kwenye ishu za kishenzi kama ufisadi na mambo kama hayo. Hiyo imesababisha wachina wamekuwa wazalishaji wakubwa wa bidhaa duniani huku pia wao pekee wakiwa na soko kubwa la ndani. Sisi kujifananisha na mchina ni upuuzi. Kuna wale wanasemaga kwamba mwaka 1961 tulikuwa sawa na China kimaendeleo huwa nashangaa sana.

Kama hujui kiingereza jitahidi ujue. Kuna app ya duolingo ni rahisi kuitumia ukajua lugha. Mimi kwa sasa kiingereza nimeshamalizana nacho najifunza kifaransa. Mimi ni mtu ninayeongea kiingereza fasaha na kukiandika.
Wewe ndio MPUMBAVU,saudia,Russia,China,Japan wanaongea kingereza?,wameshindwa kutatua matatizo yao na kufikia maendeleo ukilinganisha na nchi yenye wazungunziaji wengi wa kingereza kama Zambia,Kenya na Zimbabwe?
Futa hii takataka acha mawazo ya kitumwa
 
Haiwezekani kama nchi maskini tuendelee kubembelezana kuijua vizuri hii lugha muhimu ya kibiashara duniani. Kama tunatakiwa kufanya export zaidi ya products na services zetu hatuwezi kukwepa kukifahamu vizuri kiingereza. Hii ni lugha kuu ya biashara duniani. HAINA MJADALA.
Kwahiyo unadhani kingereza nidili sana kwa kila mtu?
Kama mtu hawezi kuandika na kutamka vizuri kingereza aitwe MLEMAVU je asieweza kusoma na kuandika kiswahili vizuri na nimtanzania tumuiteje? KIBUDU au MAHUTUTI?
Watu wamepigika hawajui wale na kuvaa nini, matibabu hawapati wanaugua kwa muda halafu useme kutojua kingereza ni ulemavu? Naona huko mtazamo wenye makengeza
 
Wew

Wewe ndio MPUMBAVU,saudia,Russia,China,Japan wanaongea kingereza?,wameshindwa kutatua matatizo yao na kufikia maendeleo ukilinganisha na nchi yenye wazungunziaji wengi wa kingereza kama Zambia,Kenya na Zimbabwe?
Futa hii takataka acha mawazo ya kitumwa
Ukisoma uzi wangu aya ya pili vizuri mtu mwenye hoja kama yako nimemtaja kama Mpuuzi.
 
Kwahiyo unadhani kingereza nidili sana kwa kila mtu?
Kama mtu hawezi kuandika na kutamka vizuri kingereza aitwe MLEMAVU je asieweza kusoma na kuandika kiswahili vizuri na nimtanzania tumuiteje? KIBUDU au MAHUTUTI?
Watu wamepigika hawajui wale na kuvaa nini, matibabu hawapati wanaugua kwa muda halafu useme kutojua kingereza ni ulemavu? Naona huko mtazamo wenye makengeza
Futa hii
 
Haiwezekani kama nchi maskini tuendelee kubembelezana kuijua vizuri hii lugha muhimu ya kibiashara duniani. Kama tunatakiwa kufanya export zaidi ya products na services zetu hatuwezi kukwepa kukifahamu vizuri kiingereza. Hii ni lugha kuu ya biashara duniani. HAINA MJADALA.

Kuna wapuuzi wana hoja mfu kudai mbona China ina maendeleo huku wanatumia lugha yao? Hawa ni wapumbavu wanaostahili kuchapwa viboko. Wachina wamefika hapo walipofika kwa kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi yao. Nyuma ya mafanikio ya wachina kuna machozi, jasho na damu. Mao Ze Dong peke yake aliwapelekea moto wachina wenzake waache uzembe na kupiga kazi. Hata viongozi wengine waliofuatia walikuwa sio poa wakikufuma kwenye ishu za kishenzi kama ufisadi na mambo kama hayo. Hiyo imesababisha wachina wamekuwa wazalishaji wakubwa wa bidhaa duniani huku pia wao pekee wakiwa na soko kubwa la ndani. Sisi kujifananisha na mchina ni upuuzi. Kuna wale wanasemaga kwamba mwaka 1961 tulikuwa sawa na China kimaendeleo huwa nashangaa sana.

Kama hujui kiingereza jitahidi ujue. Kuna app ya duolingo ni rahisi kuitumia ukajua lugha. Mimi kwa sasa kiingereza nimeshamalizana nacho najifunza kifaransa. Mimi ni mtu ninayeongea kiingereza fasaha na kukiandika.
Bila shaka huyu aya kuwa Mkenya...Maana hawa majirani zetu wanateseka lakini Kingereza kina wapa Hope ya maisha nahata wanajivunia nacho.
 
Haiwezekani kama nchi maskini tuendelee kubembelezana kuijua vizuri hii lugha muhimu ya kibiashara duniani. Kama tunatakiwa kufanya export zaidi ya products na services zetu hatuwezi kukwepa kukifahamu vizuri kiingereza. Hii ni lugha kuu ya biashara duniani. HAINA MJADALA.

Kuna wapuuzi wana hoja mfu kudai mbona China ina maendeleo huku wanatumia lugha yao? Hawa ni wapumbavu wanaostahili kuchapwa viboko. Wachina wamefika hapo walipofika kwa kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi yao. Nyuma ya mafanikio ya wachina kuna machozi, jasho na damu. Mao Ze Dong peke yake aliwapelekea moto wachina wenzake waache uzembe na kupiga kazi. Hata viongozi wengine waliofuatia walikuwa sio poa wakikufuma kwenye ishu za kishenzi kama ufisadi na mambo kama hayo. Hiyo imesababisha wachina wamekuwa wazalishaji wakubwa wa bidhaa duniani huku pia wao pekee wakiwa na soko kubwa la ndani. Sisi kujifananisha na mchina ni upuuzi. Kuna wale wanasemaga kwamba mwaka 1961 tulikuwa sawa na China kimaendeleo huwa nashangaa sana.

Kama hujui kiingereza jitahidi ujue. Kuna app ya duolingo ni rahisi kuitumia ukajua lugha. Mimi kwa sasa kiingereza nimeshamalizana nacho najifunza kifaransa. Mimi ni mtu ninayeongea kiingereza fasaha na kukiandika.
Sijui kiingereza, maisha yanaendelea.

Kuna ulazima wa kujua kiingereza wakati kwenye kazi yangu sioni kikwazo kutokujua kiingereza?
 
Kuna jamaa nae alisema kiingereza anakijua, kuna sehemu nilimnasa akimwambia rafiki yake kuwa "I waited weee but where? Ina maana nilikusubiri lakini wapi!
 
Kwakweli wakoloni walifanya kosa sana kuondoka Africa na kuacha tujitawale.

Hakika tulistahili kutawaliwa milele.

Very stupid black skin.
 
Mchina hajui kingereza Wala kiswahili bidhaa za China ndizo zinatawala soko la Tanzania

Mjapani hajui kingereza Magari ya kijapan Yako Kila Kona ya Tanzania ana export kuleta bidhaa zake hatari

Swala sio Lugha una bidhaa gani?

Huna wewe mlemavu wa akili tu hata ujue kiingereza Kwa ufasaha vipi
 
Back
Top Bottom