Haiwezekani kama nchi maskini tuendelee kubembelezana kuijua vizuri hii lugha muhimu ya kibiashara duniani. Kama tunatakiwa kufanya export zaidi ya products na services zetu hatuwezi kukwepa kukifahamu vizuri kiingereza. Hii ni lugha kuu ya biashara duniani. HAINA MJADALA.
Kuna wapuuzi wana hoja mfu kudai mbona China ina maendeleo huku wanatumia lugha yao? Hawa ni wapumbavu wanaostahili kuchapwa viboko. Wachina wamefika hapo walipofika kwa kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi yao. Nyuma ya mafanikio ya wachina kuna machozi, jasho na damu. Mao Ze Dong peke yake aliwapelekea moto wachina wenzake waache uzembe na kupiga kazi. Hata viongozi wengine waliofuatia walikuwa sio poa wakikufuma kwenye ishu za kishenzi kama ufisadi na mambo kama hayo. Hiyo imesababisha wachina wamekuwa wazalishaji wakubwa wa bidhaa duniani huku pia wao pekee wakiwa na soko kubwa la ndani. Sisi kujifananisha na mchina ni upuuzi. Kuna wale wanasemaga kwamba mwaka 1961 tulikuwa sawa na China kimaendeleo huwa nashangaa sana.
Kama hujui kiingereza jitahidi ujue. Kuna app ya duolingo ni rahisi kuitumia ukajua lugha. Mimi kwa sasa kiingereza nimeshamalizana nacho najifunza kifaransa. Mimi ni mtu ninayeongea kiingereza fasaha na kukiandika.
Kuna wapuuzi wana hoja mfu kudai mbona China ina maendeleo huku wanatumia lugha yao? Hawa ni wapumbavu wanaostahili kuchapwa viboko. Wachina wamefika hapo walipofika kwa kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi yao. Nyuma ya mafanikio ya wachina kuna machozi, jasho na damu. Mao Ze Dong peke yake aliwapelekea moto wachina wenzake waache uzembe na kupiga kazi. Hata viongozi wengine waliofuatia walikuwa sio poa wakikufuma kwenye ishu za kishenzi kama ufisadi na mambo kama hayo. Hiyo imesababisha wachina wamekuwa wazalishaji wakubwa wa bidhaa duniani huku pia wao pekee wakiwa na soko kubwa la ndani. Sisi kujifananisha na mchina ni upuuzi. Kuna wale wanasemaga kwamba mwaka 1961 tulikuwa sawa na China kimaendeleo huwa nashangaa sana.
Kama hujui kiingereza jitahidi ujue. Kuna app ya duolingo ni rahisi kuitumia ukajua lugha. Mimi kwa sasa kiingereza nimeshamalizana nacho najifunza kifaransa. Mimi ni mtu ninayeongea kiingereza fasaha na kukiandika.