winnerian
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 336
- 530
Wengi wanahoji kwanini Rais SSH anasafiri sana nje! Jibu ambalo linahitaji mtazamo mpana sana ni kwamba KULE NJE ANAKUWA "EXPOSED" NA MAZINGIRA YA KIMAENDELEO na namna dunia inavyosonga mbele kwa kasi. Kwa mtazamo huu utagundua kila safari inamuongezea uchu wa kutaka kuiona Tanzania inajitahidi kufikia ile kasi ya maendeleo ambazo nchi nyingine zimeshaifikia.
Piga picha wewe kama wewe uwe kila siku unafanya safari zako kutoka kijijini kwenu kule ndanindani kabisa kwenda tena ndani zaidi kwa bibi na babu kuwasalimu na kufanya mizunguko mingine isiyokuwa muhimu. Imagine fikra zako zitakavyobaki mgando kutokana na kutojifunza chochote kutoka kwenye mazingira ambayo hayakujengi kimtizamo wala fikra. Wenzako wanaokimbilia mijini na majiji watakupiku parefu sana kimaendeleo.
Mh. Rais ni ushauri wangu uendelee na safari za nje na pia utoe mwanya na kwa mawaziri pamoja na wale wote wanaoweza kwenda huko nje kutuletea mawazo mapya ya kutufanya tupate maendeleo kwa haraka.
Kukaa tu hapa ndani na kuzunguka wilayani kutafuta kesi ya nani kaibiwa kuku wake sisi kama taifa kwa ujumla hatutapata manufaa yeyote yale na badala yake tutazalisha viongozi mgando na wenye mtazamo hasi na very very primitive.
Piga picha wewe kama wewe uwe kila siku unafanya safari zako kutoka kijijini kwenu kule ndanindani kabisa kwenda tena ndani zaidi kwa bibi na babu kuwasalimu na kufanya mizunguko mingine isiyokuwa muhimu. Imagine fikra zako zitakavyobaki mgando kutokana na kutojifunza chochote kutoka kwenye mazingira ambayo hayakujengi kimtizamo wala fikra. Wenzako wanaokimbilia mijini na majiji watakupiku parefu sana kimaendeleo.
Mh. Rais ni ushauri wangu uendelee na safari za nje na pia utoe mwanya na kwa mawaziri pamoja na wale wote wanaoweza kwenda huko nje kutuletea mawazo mapya ya kutufanya tupate maendeleo kwa haraka.
Kukaa tu hapa ndani na kuzunguka wilayani kutafuta kesi ya nani kaibiwa kuku wake sisi kama taifa kwa ujumla hatutapata manufaa yeyote yale na badala yake tutazalisha viongozi mgando na wenye mtazamo hasi na very very primitive.