Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Nimejaribu kuangalia jamiii hizi mbili za wanyanwezi wa Tabora na wasukuma toka Shinyanga na Kanda ya ziwa.
Kiukweli hadi sasa nimeshidwa kuwatofautisha kati ya wasukuma na wanyamwezi japo mila na desturi inasemekana zinafanana lakini mi naona tofauti kwa sababu kila nikimuangalia mnyamwezi naona anafanana sana na mikoa ya Tanga au Pwani yaani naona watu wenye asili fulani ya umwinyi umwinyi na pia watu wasiopenda kuongea lugha ya kwao.
Na wasukuma wengi naona ni watu wanaopenda lugha yao, kabila lao wachapa kazi, wafugaji,n.k .
Lakini hapo hapo tunaambiwa mnyamwezi na msukuma ndugu, kwa mnaofahamu hebu tupe tofauti ya mnyamwezi na msukuma.
Kiukweli hadi sasa nimeshidwa kuwatofautisha kati ya wasukuma na wanyamwezi japo mila na desturi inasemekana zinafanana lakini mi naona tofauti kwa sababu kila nikimuangalia mnyamwezi naona anafanana sana na mikoa ya Tanga au Pwani yaani naona watu wenye asili fulani ya umwinyi umwinyi na pia watu wasiopenda kuongea lugha ya kwao.
Na wasukuma wengi naona ni watu wanaopenda lugha yao, kabila lao wachapa kazi, wafugaji,n.k .
Lakini hapo hapo tunaambiwa mnyamwezi na msukuma ndugu, kwa mnaofahamu hebu tupe tofauti ya mnyamwezi na msukuma.