jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,265
- 36,332
Wasalaam
Hakika DSM nimeinyooshea mkono.
Baada ya kupiga maokoto mazuri kwenye machimbo,nikaamua nije kumwagilia moyo jijini DSM.
Aisee huu mji ni balaa kuna wanawake wazuri hatari,miili iliyonona,ngozi laini,shepu nzuri,sura nzuri,wananukia vizuri.
Mpaka unajiuliza hawa ni watanzania kweli.?
Vijana tutafuteni pesa asee.
Nilichogundua wanaume wa dsm wenye pesa wanafaidi sana. Mkoani wanawake wazuri wachache na wanagombaniwa sana na wanaringa sana, ukija dsm unabaki unashangaa jinsi ulivyokua unahangaika na dem wa hovyo mwenye zero standards ukilinganisha na pisi kali za dsm.
Ngoja nirudi zangu machimboni wasije nifirisi mbwa hawa nikakosa hata nauli.
MaendeleoHayanaChama
Hakika DSM nimeinyooshea mkono.
Baada ya kupiga maokoto mazuri kwenye machimbo,nikaamua nije kumwagilia moyo jijini DSM.
Aisee huu mji ni balaa kuna wanawake wazuri hatari,miili iliyonona,ngozi laini,shepu nzuri,sura nzuri,wananukia vizuri.
Mpaka unajiuliza hawa ni watanzania kweli.?
Vijana tutafuteni pesa asee.
Nilichogundua wanaume wa dsm wenye pesa wanafaidi sana. Mkoani wanawake wazuri wachache na wanagombaniwa sana na wanaringa sana, ukija dsm unabaki unashangaa jinsi ulivyokua unahangaika na dem wa hovyo mwenye zero standards ukilinganisha na pisi kali za dsm.
Ngoja nirudi zangu machimboni wasije nifirisi mbwa hawa nikakosa hata nauli.
MaendeleoHayanaChama