Kumbe chadema imechuja kiasi hiki kigoma.

Wakuu diwani wa chadema aliyekuwa anagombea nafasi ya uenyekiti wa halmashauri moja huko kigoma amepata kura tatu tu,hii ikanifanya niamini kuwa kweli chadema imechuja sana kigoma,make wapiga kura walikuwa 17 mh diwani wa chadema kaambulia tatu tu.

Elimu ndogo inakusumbua... unachokizungumzia ni sawa na kupeleka mtu wa CHADEMA kwenye bunge la sasa ashinde nafasi ya Spika Bungeni. Kwa uwiano ule hata kila mwezi uchaguzi ukifanyika matokeo yatakuwa yaleyale.
 
Wakuu mwanzo nilijua chadema wanangome imara kigoma kumbe ni kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.

nyoo ccm wote wachangiaji ni vichaa mnaanzisha hoja na unaichangia ukiwa wa kwanza ndizo akili za mwenyekiti wenu,majuha wote nyie
 
Udiwani alipataje? Hao watu 17 kama yote yalikuwa magamba unafikiri angewezaje kupata zaidi ya hizo 3! Ungetueleza na Mazingira ya Uchaguzi!
 
Chadema bado sana haiwezi kuongoza wasubiri kipigo mwaka 2015 babu azimie kwa presha basi
 
Chadema bado sana haiwezi kuongoza wasubiri kipigo mwaka 2015 babu azimie kwa presha basi
Mwambie Nape arudishe milioni tano alizohongwa ha ha Nape kabutuliwa aliyemkuwadia wamemwangusha CCM mumiani wa demokrasia
 
Ili habari yako ikamilike toa mchanganuo kichama wa hao wapiga kura

Hawezi kuchanganua kwa sababu ni muongo tapeli la kisiasa yanakuja tu kumwaga upu.pu JF ili kushusha hadhi ya jamvi anaongopa wakati huyo mjaa kawekwa kinyume cha taratibu jana wametangaza uchaguzi utarudia baada ya siku 60 leo baada ya kuhongwa Nape wanaibuka nampya
 
naungana na wewe kk bora yule dada aache udiwani aibu gani halafu ni binti mdogo sana
CCM mnajaribu kupata cha kufurahia, endeleeni ....... labda mtaweza waliposhindwa wakuu wenu (mwig...) kila siku
 
Mtu mzima kupata kula tatu ni aibu sijui wewe unalichukuliaje hili kama mimi naacha na udiwani.

Sipendi ushabiki wa vyama kwani vyama vya siasa vya bongo ni magenge ya wahuni, wezi na waongo. Wote wanachumia matumbo yao kwenye shamba la wanyonge
 
Pamoja na kupotosha kwa saana na pia kujichekesha kiliberali bado ukweli unaujua kuwa mgombea wa CCM alikataliwa na CCM wenzie, baada ya kuona mgombea wa CDM anachukua, mkaahirisha uchaguzi kama kawaida yenu badala ya kurudia kura ili pata mshindi...
anyway kijana wenu mliompa kazi maalum amejitahidi sana kuhakikisha kuwa CDM haistawi ndani ya Kigoma...alitumia resources za chama kuwafanyia kampeni marafiki zake, tunajua hayuko kwa maslahi ya watanzania bali yuko kwa kazi maalum...uzuri akina Ben 10 wameshaweka mambo hadharani long time...
 
CDM in general hawana ngome yoyote hapa Tanzania kitu wanachofanya nikuforce kuwa na ngome,eg Arusha.Yote kwa yote CDM ni biashara ya wachache, waliobaki ni wafuata mkumbo tu na wapenda viroba vya bila gharama,amka kijana na uikatae CDM kama ukoma.
 
wakuu diwani wa chadema aliyekuwa anagombea nafasi ya uenyekiti wa halmashauri moja huko kigoma amepata kura tatu tu,hii ikanifanya niamini kuwa kweli chadema imechuja sana kigoma,make wapiga kura walikuwa 17 mh diwani wa chadema kaambulia tatu tu.

zitto ameishia wapi?nadhani akiisoma hii thread atazinduka.
 
Back
Top Bottom