MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,199
- 1,226
Wakuu hebu tuchangie hii dhana ya baadhi ya watu ambao husema na kuamini ya kuwa ati kuku wa kienyeji ana sumu hasa akikudonoa na kuweka jeraha basi lazima utakufa kama hujatibiwa kwa maana ya kudhibiti sumu......je wadau kuna ukweli juu ya jambo hili? naomba tuchangie wadau.....