UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,587
- 7,821
Hapatakalika siyo?Wasipotolewa usiku huu asubuhi tunakinukisha
Kamanda Mroto amestaafu, lakini polisi bado wapo, na kipigo cha mbwa koko kiko pale pale! Jaribuni muone.
Hapatakalika siyo?Wasipotolewa usiku huu asubuhi tunakinukisha
Anafurahisha genge tu huyo. Kipigo cha mbwa koko siyo kitu cha mchezo 😄😄Ah wapi, tisha tisha toto tu😂😂😂😂
Mtafanya nini? Hamna.
Alisikika masela mavi mmoja akipayuka baada ya kuvuta mibangePambaneni na polisi muwatoe makamanda,nendeni kwa maandamano.
Punguza makasiriko, Chadema ni chama cha siasa, kwahiyo kinatekeleza wajibu wake.WAO CHADEMA kila kitu ni siasa ni hii ni kwa sababu hawana hoja
😂😂🤣🤣😂🤣Wasipotolewa usiku huu asubuhi tunakinukisha
WAO CHADEMA kila kitu ni siasa ni hii ni kwa sababu hawana hoja
Huu ujinga watisheni punguani. Msiishi kwa kukariri. Jana siyo leo.Hapatakalika siyo?
Kamanda Mroto amestaafu, lakini polisi bado wapo, na kipigo cha mbwa koko kiko pale pale! Jaribuni muone.
Sahihi,lkn unamaana gani?It will be only a 'temporary pain-killer,' not the permanent solution for the problem.
Ukitaka kuua mti basi chiimbua mizizi yake, ukikata tu matawi yake lazima ipo siku mti huo utakuja kuchipua tena na kustawi.
Hakika hao ni chadema au sio..Alisikika masela mavi mmoja akipayuka baada ya kuvuta mibange
Una tatizo kubwa sana...Punguza ujinga mpaka siku akikamatwa mjomba wako ndio akili itakujia
Tanzania hatuna polisi bali tuna majambazi yanayovaa uniform za polisi
Hao vijana wa kunukisha online aiseeNdio kamanda,ntakukumbusha mapema kesho,piiiiiiiipooooooozzzz
Siasa ndio maisha ndg. Kodi kwenye bidhaa na vitu vyote vinavyofanya gharama za maisha ziwe juu ni mambo yanayowekwa na wanasiasa! Sheria kandamizi zinawekwa na wanasiasa!WAO CHADEMA kila kitu ni siasa ni hii ni kwa sababu hawana hoja
Na lile domo lake kama ashakumJumanne akiona hiyo kibatala kichwa kitawaka moto
Tuko cenral mkuu , wamesema wanawatoa muda huu😂😂🤣🤣😂🤣
Basi lianzisheni kwenye maandamano yenu tuone kitakachofuata.Huu ujinga watisheni punguani. Msiishi kwa kukariri. Jana siyo leo.