kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,013
- 9,107
Inasemekana Aubin Kramo ameuomba uongozi wa klabu ya Simba wamruhusu aondoke kwenye klabu hiyo arudi kwao au wamtoe kwa mkopo kwa sababu kuna mambo hayaelewi kwenye timu hiyo, kila inapofika siku ya mechi anajikuta anaumwa alafu mechi ikiisha anakuwa sawa".