Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
Nahisi kama vile nchi iko katika kinyang'anyilo cha kumlipa mdeni ambaye wananchi hawamjui na wala hawajambiwa kama yupo na wanadaiwa naye! Kwa nini kodi na ada zimepaa ghafla namna hii? Bima ya magari juu, Road License/Motor vehicle bei juu, kusajiri Biashara bei juu, leseni za Biashara bei juu mara dufu?!
Tunakoelekea Serikali italeta kodi ya kuongea na kodi ya kuandika kabla haijaleta kodi ya kuvuta pumzi!
Tunakoelekea Serikali italeta kodi ya kuongea na kodi ya kuandika kabla haijaleta kodi ya kuvuta pumzi!