Anthony horowitz
Member
- May 4, 2024
- 91
- 205
ni baadhi ya vijana walio kosa mtazamo chanya, fikra na maamuzi sahihi tu.Kwanini uchawa kizazi chenu umekua jambo la kujivunia,mwanaume kusifia wenzie,umbea,kuvaa mlegezo,hereni..
wapo vijana wenye maamuzi na fikra nzuri zinazo leta mabadiliko kwenye jamii.