Kiwanda gani kidogo naweza Anzisha kwa Mtaji wa Tsh 20M kwa Dar

Habari Wakuu,

Poleni na majukumu yenu ya kila sku,

Niende moja moja kwenye mada. Nahitaji mawazo ya kiwanda gani kidogo kwa Dar naweza anzisha kwa Mtaji wa 20M

Natumai nitapata mawazo nkuntu yatakayonifanya niweze kusongesha mbele Maisha

Natanguliza Shukrani.
Dah...Kama una mtaji lakini huna wazo...maana yake hujui kitu...hivyo..sikushauri ufungue kiwanda....tafuta aliye na kiwanda tayari...kinachofanya kazi kwa ufanisi..wekeza hapo...na ujifunze

Sent using Beretta ARX 160
 
Dah...Kama una mtaji lakini huna wazo...maana yake hujui kitu...hivyo..sikushauri ufungue kiwanda....tafuta aliye na kiwanda tayari...kinachofanya kazi kwa ufanisi..wekeza hapo...na ujifunze

Sent using Beretta ARX 160
Kweli we ni roho mbaya ata jina lako linasadifu ulicho reply
 
Kweli we ni roho mbaya ata jina lako linasadifu ulicho reply
Dah...Sasa ya Nini kumdanganya? Wazo huwa mbele kabla ya mtaji... Mtu hajui chochote mnataka kumdanganya apoteze mtaji wake...kwanini asijifunze kwanza? Acheni unafki bana

Sent using Beretta ARX 160
 
Habari Wakuu,

Poleni na majukumu yenu ya kila sku,

Niende moja moja kwenye mada. Nahitaji mawazo ya kiwanda gani kidogo kwa Dar naweza anzisha kwa Mtaji wa 20M

Natumai nitapata mawazo nkuntu yatakayonifanya niweze kusongesha mbele Maisha

Natanguliza Shukrani.
Mkuu anzisha kiwanda kidogo cha mafuta ya nazi kwa ajili ya kujipaka. Unaweza agiza mashine toka India.
1. Gharama ya mashine haitazidi mi 6 hadi uzipate incl. tax and clearance.
2. Raw materials za mwanzo itakugharimu mil 2.
3. Operation costs za mwanzo(elec&water&comm) mil 2.
4. Utahitaji wafanyakazi 3 wages mil 1.8 kwa miezi 3 ya mwanzo.
5. Packaging materials & lebeling kwa miezi 3 ya mwanzo mil 2.
6. Distribution & marketing (assume una kausafiri kwa sasa na utakatumia)....1.5mil
Jumla 15.3 Mil.

Ingine 4.7 save usikilizie biashara inaendaje
 
Mkuu anzisha kiwanda kidogo cha mafuta ya nazi kwa ajili ya kujipaka. Unaweza agiza mashine toka India.
1. Gharama ya mashine haitazidi mi 6 hadi uzipate incl. tax and clearance.
2. Raw materials za mwanzo itakugharimu mil 2.
3. Operation costs za mwanzo(elec&water&comm) mil 2.
4. Utahitaji wafanyakazi 3 wages mil 1.8 kwa miezi 3 ya mwanzo.
5. Packaging materials & lebeling kwa miezi 3 ya mwanzo mil 2.
6. Distribution & marketing (assume una kausafiri kwa sasa na utakatumia)....1.5mil
Mil kumi save au weka kwenye fixed account usikilizie biashara inaendaje.
Jumla 15.3 Mil.

Ingine 4.7 save usikilizie biashara inaendaje
Asantee sanaa mkuu
 
Habari Wakuu,

Poleni na majukumu yenu ya kila sku,

Niende moja moja kwenye mada. Nahitaji mawazo ya kiwanda gani kidogo kwa Dar naweza anzisha kwa Mtaji wa 20M

Natumai nitapata mawazo nkuntu yatakayonifanya niweze kusongesha mbele Maisha

Natanguliza Shukrani.
Fungua mashine ya kusaga pamoja na kuweka stock ya nafaka itakulipa
 
Fungua mashine ya kusaga pamoja na kuweka stock ya nafaka itakulipa
Katika biashara zote alizoshauriwa hii ndio nzuri na rahisi kwa mtu asiye na uzoefu wa biashara.
Kwa sababu bidhaa ya chakula Ni rahisi kuifanyia marketing,kila mtanzania anajua matumizi ya unga wa sembe kwa hyo huitaj nguvu nyingi.
Ila siafiki kumshauri kuanzisha kiwanda Cha kutengeneza product ambazo sio chakula matokeo yake atajikuta hela yote inaisha wakati wa kufanya marketing hadi anafirisika na bado watu hawajaielewa bidhaa yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Wakuu,

Poleni na majukumu yenu ya kila sku,

Niende moja moja kwenye mada. Nahitaji mawazo ya kiwanda gani kidogo kwa Dar naweza anzisha kwa Mtaji wa 20M

Natumai nitapata mawazo nkuntu yatakayonifanya niweze kusongesha mbele Maisha

Natanguliza Shukrani.

Ni PM.!
 
Back
Top Bottom