KITETO: Kata ya Engusero Yapokea Ambulance 🚑 Mpya ya Kubeba Wagonjwa, Wananchi Wamshukuru Rais Samia Suluhu Hassan

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,988
960

KITETO: Kata ya Engusero Yapokea Ambulance 🚑 Mpya ya Kubeba Wagonjwa, Wananchi Wamshukuru Rais Samia Suluhu Hassan

Wananchi wa Kata ya Engusero Jimbo la Kiteto wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia Gari jipya la wagonjwa ambalo litawaondolea adha ya Usafiri wa wagonjwa katika Kata hiyo na Tarafa nzima ya Matui.

Pia, Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Gari jipya la wagonjwa ambalo litawasaidia Wananchi wa Kata ya Engusero na maeneo ya jirani na kwa miradi mingine mingi ambayo Kiteto imepata kwa kipindi kifupi

Mhe. Edward Ole Lekaita ametumia hadhara hiyo kuhutubia Mamia ya Wananchi wa Kata ya Engusero waliojitokeza kumpokea na kupokea Ambulance 🚑 mpya ambapo amewataka kulitunza gari hilo ili liweze kusaidia Tarafa nzima ya Matui
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.41.33.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.41.33.jpeg
    129.5 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.41.33(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.41.33(1).jpeg
    141.6 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.41.34.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.41.34.jpeg
    138.7 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.41.34(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.41.34(1).jpeg
    129.5 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.45.35.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.45.35.jpeg
    134.3 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.45.36.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.45.36.jpeg
    145.9 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.45.38.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-04 at 23.45.38.jpeg
    116.3 KB · Views: 1
Watanzania wakiona hivi, roho kwaaatu kabisa, ukiwaeleza kwa nini hujaongeza mshahara halafu unawaonyeaha mambo kama haya, SGR, Mwalimu Nyerere, barabara, mashule, vituo vya afya na zahanati, Kigongo Busisi, Jangwani, kwa kweli vifua vyetu sisi watumishi vinatabasamu na kuelewa
 
Back
Top Bottom