KAJOBO
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 386
- 301
Nitakupa tips chache ninazozifahamu mkuu
Kitunguu kinahitaji maji mengi wakati wa kustawi but kinapoanza kukomaa hakihitaji maji mengi. Wakati wa kuvuna kitunguu hakitakiwi kigusane na maji kikigusana kitaoza
Sasa bas sijui mkoa ulipo na mvua za masika zinaanza mwez gani
Ila ukivivusha mkuu vitakutoa maana bei yake kati sh 120000 ~180000 kulingana na eneo uliko
Mimi nategemea kupanda next week
Kitunguu kinahitaji maji mengi wakati wa kustawi but kinapoanza kukomaa hakihitaji maji mengi. Wakati wa kuvuna kitunguu hakitakiwi kigusane na maji kikigusana kitaoza
Sasa bas sijui mkoa ulipo na mvua za masika zinaanza mwez gani
Ila ukivivusha mkuu vitakutoa maana bei yake kati sh 120000 ~180000 kulingana na eneo uliko
Mimi nategemea kupanda next week