Kazi hizi hufanya Wanaume wengi kula tunda kimasihara

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,407
19,047
Wachungaji / ma ustadh / waganga feki - wanawake wengi sana wanasukumwa na Imani na ndio maana idadi yao ni kubwa kanisani, kwa waganga na wanaoenda kwa maustadh kwa tiba, matatizo Yao huwa kwenye uzazi, ndoa, malimbwata, kuombewa miujiza, kuroga, kuondoa nuksi, n.k hapa sasa kuna watu tajwa huwa wanachomekea gia ya kuomba mchezo kwa kisingizio cha masharti, kuingiza dawa na hata kutumia vitisho pale mwanamke akileta ugumu.

Wasanii + wanamichezo - wasanii hususan wa bongo fleva na wale wanaofahamika bongo muvi mara nyingi hata hawatumii nguvu kubwa kwasababu tayari majina yao yanajisemea, tukija kwa wacheza mpira timu za bongo nao hawapo nyuma, sema tu utofauti wao na wasanii ni kwamba wao wanapenda kutembea na mabinti wasio na umaarufu, kwa wasanii wanapenda kutembea na mabinti wenye umaarufu flani ivi.

Studio za picha - yanayoendelea huko studio za picha ni mengi mno kuanzia kwenye kubadili mavazi, kuvaa nguo zenye mitego, picha za uchi na hata mitindo ya upigaji wa picha , kazi hii yahitaji moyo, mabinti wengi huwa ni wale ma model wa Instagram, Facebook, n.k

Walimu wa vyuoni - Hawa ni kama miungu watu huko vyuoni, kuna kundi la kwanza ambalo huwa wanafelisha au kuwekwa ugumu binti wanaemtamani, na hapa Ili binti basi huyo mwalimu anamwambia wafanye ngono....kundi la pili ni wanafunzi ambao wanajua wamefeli kihalali ila ni wenyewe wanaofanya jitihada za kumtega mwalimu Ili awape maksi za kusonga mbele, kwao kutoa mzigo sio ishu kabisa.

Boda boda + wakaanga chipsi - Hawa mara nyingi wanamendea vibinti vidogo na muda mwengi hata WA sekondari, vibinti vidogo hivi akili bado hazijakomaa ila kimaumbile ni wakubwa, wengi wakipewa chipsi au lift, ni huruma pekee ya boda bpda au muuza chips itayonuokoa, vinginevyo hapo hachomoki.

=======

Zaidi soma: Ulishawahi kula tunda kimasihara?
 
Back
Top Bottom