Annie X6 JF-Expert Member Mar 16, 2023 431 797 Dec 28, 2023 #1 Ada zinasumbua sasa. Ukitaka kuuza kitu ulipe ada hapo unakosea sana! Magari, viwanja, nyumba, simu, pikipiki vinawekwa sokoni kwa kasi sana.
Ada zinasumbua sasa. Ukitaka kuuza kitu ulipe ada hapo unakosea sana! Magari, viwanja, nyumba, simu, pikipiki vinawekwa sokoni kwa kasi sana.
cocochanel Platinum Member Oct 6, 2007 26,800 73,559 Dec 28, 2023 #2 Let plz michongo tulipie pesa za walio na haraka..
Jack Daniel JF-Expert Member Sep 23, 2021 2,169 10,463 Dec 28, 2023 #3 Dah mbona unanisema mkuu, nimekukosea nini? Anyway gari langu sijauza mpaka mwishoni mwa mwezi wa kwanza taligomboa
Dah mbona unanisema mkuu, nimekukosea nini? Anyway gari langu sijauza mpaka mwishoni mwa mwezi wa kwanza taligomboa
Mr.Wenger JF-Expert Member Nov 20, 2014 2,531 5,881 Dec 28, 2023 #4 Sasa ukiuza hiyo plot mwakani ukidaiwa tena ada utauza nini? Embu tuacheni kufosi mambo, peleka huyo mtoto Kayumba
Sasa ukiuza hiyo plot mwakani ukidaiwa tena ada utauza nini? Embu tuacheni kufosi mambo, peleka huyo mtoto Kayumba
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 49,083 43,232 Dec 28, 2023 #5 Halafu unakuta ni mtoto wa p3
Annie X6 JF-Expert Member Mar 16, 2023 431 797 Dec 28, 2023 Thread starter #6 Mtoto halali na hela said: Halafu unakuta ni mtoto wa p3 Click to expand... Kikubwa elimu bora uliyocgangamka
Mtoto halali na hela said: Halafu unakuta ni mtoto wa p3 Click to expand... Kikubwa elimu bora uliyocgangamka
Uzalendo Installer JF-Expert Member Nov 8, 2014 5,690 9,335 Dec 28, 2023 #7 Hehehe kumekucha...ngoja niendelee kuitunza hii 2m..naweza daka ndinga
DR HAYA LAND JF-Expert Member Dec 26, 2017 18,721 47,513 Dec 28, 2023 #8 Cha muhimu mtoto asome simu, gari, viwanja n.k bado ni vitu vidogo Kwa mpambanaji