KAMA MWANAO AMEENDA JKT MUDA HUU MFATILIE KAMA KAINGIA AU LA

Egbeth

Member
Jan 15, 2018
42
43
Naomba kutoa taarifa ya wwzalendo form six waliochelewa kuripoti kambini ,wanarudishwa .Hivyo kama mzazi na mlezi fatilia mwanao kama ameingia au la ,kwaajili ya usalama wake.

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom