Kama hupendi kelele usioe

Zurie

JF-Expert Member
Jul 6, 2014
1,850
4,734
Ujumbe wangu ni mfupi tu, kama wewe mambo ya kelele ni turnoff kubwa sana kwako, KATAA NDOA!!!

Wanawake sisi ni wapiga kelele, tuna-nag, tuna story zisizo na kichwa wala miguu, tunalalamika sana, tunapush idea zetu kila kukicha. Hutaki Acha.

Kila mwanaume kelele kelele, oh nachepuka kuepuka kelele, ooh nimemuacha kisa kelele, ooh nalewa hadi saa 9 kuepuka kelele. Kelele ni kama Pi, yaani constant kama hutaki wewe piga usepe, nunua uchape lodge urudi kwako.

Ndimi mke asiye na kelele
 
Ujumbe wangu ni mfupi tu, kama wewe mambo ya kelele ni turnoff kubwa sana kwako, KATAA NDOA!!!

Wanawake sisi ni wapiga kelele, tuna-nag, tuna story zisizo na kichwa wala miguu, tunalalamika sana, tunapush idea zetu kila kukicha. Hutaki Acha.

Kila mwanaume kelele kelele, oh nachepuka kuepuka kelele, ooh nimemuacha kila kelele, ooh nalewa hadi saa 9 kuepuka kelele. Kelele ni kama Pi, yaani constant kama hutaki wewe piga usepe, nunua uchape lodge urudi kwako.

Ndimi mke asiye na kelele
Sawa Zurie kelele
 
Ujumbe wangu ni mfupi tu, kama wewe mambo ya kelele ni turnoff kubwa sana kwako, KATAA NDOA!!!

Wanawake sisi ni wapiga kelele, tuna-nag, tuna story zisizo na kichwa wala miguu, tunalalamika sana, tunapush idea zetu kila kukicha. Hutaki Acha.

Kila mwanaume kelele kelele, oh nachepuka kuepuka kelele, ooh nimemuacha kisa kelele, ooh nalewa hadi saa 9 kuepuka kelele. Kelele ni kama Pi, yaani constant kama hutaki wewe piga usepe, nunua uchape lodge urudi kwako.

Ndimi mke asiye na kelele
Mke usiye na kelele na bado unasema wanawake ninyi ni wapiga kelele,unatudanganyaaa!🤣

Tunawapenda hivyo na kelele zenu na tunawaoa.
 
Inasemekana wanawake huwa Wana "uchizi"...ikitokea ukiwakamata lazima mgombane.....

Itokee unafanya kazi ofisi imejaa wanawake lazima utagundua kuna siku wananuna bila sababu....au mnapigizana kelele bila sababu

Ni hormones tu particularly Estrogen. Estrogen levels zikiwa low you may feel sad, anxious or frustrated hata bila sababu.
 
Ujumbe wangu ni mfupi tu, kama wewe mambo ya kelele ni turnoff kubwa sana kwako, KATAA NDOA!!!

Wanawake sisi ni wapiga kelele, tuna-nag, tuna story zisizo na kichwa wala miguu, tunalalamika sana, tunapush idea zetu kila kukicha. Hutaki Acha.

Kila mwanaume kelele kelele, oh nachepuka kuepuka kelele, ooh nimemuacha kisa kelele, ooh nalewa hadi saa 9 kuepuka kelele. Kelele ni kama Pi, yaani constant kama hutaki wewe piga usepe, nunua uchape lodge urudi kwako.

Ndimi mke asiye na kelele
piga usepe, Nunua uchape Aisee umempa ruksa kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom