Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Bulembo anapodiriki kusema Katibu Mkuu wa chama hakua mwana CCM anatuma salama Kwa akina Nassary, Mashinji, Mdee na wengine kwamba Muda wao wakufaidi keki ya Taifa umeisha wajiandae kukabidhi V8 vinginevyo waombe sana mwenyekiti wa CCM awakingie kifua.
Hawa wazee wana roho za kikatili na wanapenda sana maendeleo ya watoto wao SI Watanzania. JPM alifikia akawateua yeye na mtoto wake lakini Leo adharani anamdhaliisha kwa sababu TU hayupo hai. Hii inatoa picha kwa viongozi wengine kwamba Tanzania hakuna upendo kwa wanasiasa wanachofanya nikuangalia maslahi.
Upo uwezekano Mwenyekiti wa CCM akadhani amezungukwa na watu kumbe amezungukwa na mbwa mwitu. Upo wakati anaweza akafumbua macho uonevu wa wale wasio wanaccm akidhani wanaccm wapo naye kumbe Bora hata wsio wanaccm maana wanamweleza ukweli.
Huyu Mzee Leo ametufumbua macho hasa alipohoji kama polepole anapesa? Baada tu yakuhoji hivyo tunashuhudia chumba kimoja cha polepole huko Dodoma kikiwa na kila kitu. Means mzee anajua uwezo wa kiuchumi wa Polepole. Kwa mtizamo Wangu Bora polepole anayeishi kwenye chumba kimoja na hana pesa kuliko viongozi wenye pesa walizoiba Kwa wananachi na wanatumia Fedha hizo kudhalilisha wananchi.
Mwisho, Huyu Mzee anaposema alikuwa anabadilishana nguo na JPM kwenye kampeni ni dharau kubwa sana,lakini kibaya Zaid hawa ndio waliokuwa washauri wa JPM na watu wa aina hii ndio wenyeviti wa vyama mikoa na will na intelijensia ya chama haikuona dhamira zao. Je, wanaoutafsiri negatively uongoz wa chama uliopo ni wangapi? Wanavyoendleza hizi harakati ndani ya mfumo ambao chama ndiyo serikali tunadhani tutapata maendeleo? Kwamba uichukie awamu ya Tano na uishauri ipate maendeleo No. Tujitathimini
Hawa wazee wana roho za kikatili na wanapenda sana maendeleo ya watoto wao SI Watanzania. JPM alifikia akawateua yeye na mtoto wake lakini Leo adharani anamdhaliisha kwa sababu TU hayupo hai. Hii inatoa picha kwa viongozi wengine kwamba Tanzania hakuna upendo kwa wanasiasa wanachofanya nikuangalia maslahi.
Upo uwezekano Mwenyekiti wa CCM akadhani amezungukwa na watu kumbe amezungukwa na mbwa mwitu. Upo wakati anaweza akafumbua macho uonevu wa wale wasio wanaccm akidhani wanaccm wapo naye kumbe Bora hata wsio wanaccm maana wanamweleza ukweli.
Huyu Mzee Leo ametufumbua macho hasa alipohoji kama polepole anapesa? Baada tu yakuhoji hivyo tunashuhudia chumba kimoja cha polepole huko Dodoma kikiwa na kila kitu. Means mzee anajua uwezo wa kiuchumi wa Polepole. Kwa mtizamo Wangu Bora polepole anayeishi kwenye chumba kimoja na hana pesa kuliko viongozi wenye pesa walizoiba Kwa wananachi na wanatumia Fedha hizo kudhalilisha wananchi.
Mwisho, Huyu Mzee anaposema alikuwa anabadilishana nguo na JPM kwenye kampeni ni dharau kubwa sana,lakini kibaya Zaid hawa ndio waliokuwa washauri wa JPM na watu wa aina hii ndio wenyeviti wa vyama mikoa na will na intelijensia ya chama haikuona dhamira zao. Je, wanaoutafsiri negatively uongoz wa chama uliopo ni wangapi? Wanavyoendleza hizi harakati ndani ya mfumo ambao chama ndiyo serikali tunadhani tutapata maendeleo? Kwamba uichukie awamu ya Tano na uishauri ipate maendeleo No. Tujitathimini